Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,502
- 30,544
HurtingYou are hearting her feelings! Akiona haumfai atafanya diet
Sent using Jamii Forums mobile app
HurtingYou are hearting her feelings! Akiona haumfai atafanya diet
Spelling dictionary ya simu mkuu Ndio imeleta hiyo but nilikusudia hurting
Kweli mkuu simu sometimes zinaharibu maneno kwa autocorrectSpelling dictionary ya simu mkuu Ndio imeleta hiyo but nilikusudia hurting
Kama mumewe hamwambii wewe ni nani hadi umshauri?kamshauri mkeo bana acha kudandia wake za watu,wewe shida yako kusikiliza taarifa ya habari au kuangalia maumbo ya watu.Naam
Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.
Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli
Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.
Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.
Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote
Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu
Mimi nakukubali sana
Jackline Silemu na wewe jitafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Farhia Middle
Jacqueline Slim
Bahati Alex
Hawa wadada wameijachia sana wamekuwa kama mapipa wafanye mazoezi kupunguza walau hayo manyama uzembe.
Screen inajaa kichwa tu cha mtangazaji dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo yeyeHuyu ndio anakuwaga na Abdala mwaipaya kwwnye kipindi cha mazungumzo ya familia?
Anakaubish flan hiv amaizing
komesha korona
Mjitafakari kama alivyosema mtoa mada hao wadada ni wazuri sana tena sana ila sasa toka wajiachie hawana mvuto tena.Khaaa! Jamn vibonge Mungu atuangalie kwa jicho la kipekee!
Mjitafakari kama alivyosema mtoa mada hao wadada ni wazuri sana tena sana ila sasa toka wajiachie hawana mvuto tena.
Ni watoto wadogo tu lakini wanaanza kuonekana kama wako kwenye their 40s
So sad.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha jitahidi upunguze nyama uzembeHakuna kazi ngumu kama kupungua! Inataka moyo..mie kila nikiamka nachek barabara kama nusu saa narudi ndani..yaan nawaza niende juu au nishushe chini! Naishia kushika jembe kutoa toa majani..eish Mambo mbele kwa mbele
😂😂😂😂Kama mumewe hamwambii wewe ni nani hadi umshauri?kamshauri mkeo bana acha kudandia wake za watu,wewe shida yako kusikiliza taarifa ya habari au kuangalia maumbo ya watu.
Acheni majungu mbona hayo miNaam
Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.
Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli
Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.
Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.
Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote
Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu
Mimi nakukubali sana
Jackline Silemu na wewe jitafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha majungu ww hayo ni masuala ya mtu binafsi kama yeye karidhika hivyo ww inakuhusu nini angalia uwasilishaji wake wa habari mengine achana nayo,unataka umpangie mtu hadi maisha aishi vipi acha uchimvi weNaam
Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.
Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli
Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.
Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.
Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote
Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu
Mimi nakukubali sana
Jackline Silemu na wewe jitafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa naacha majungu nakuja na masufuria na mahotpotiAcheni majungu mbona hayo mi
Yap waache sijui Nani kawambia kwamba wanavutia kusimama pale mbeleTena bora wangeacha huu mfumo wa kisherehesha habari ndio aende kwenye kiti anabona,akisimama pale mbele utafikiri kiboko kinaongea.
Sent using Jamii Forums mobile app