Farhia Middle punguza huo unene

Nakumbuka Opra alikuwa mnene sana lakini alikuwa na watazamaji wengi sana
Lakini pindi alipoamua kupunguza unene tu watizamaji walipungua sana kwa wembamba wake
Wanene oyee
Huo ni ukweli kuhusu Opra


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Naam

Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.

Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli

Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.

Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.

Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote

Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu

Mimi nakukubali sana

Jackline Silemu na wewe jitafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mumewe hamwambii wewe ni nani hadi umshauri?kamshauri mkeo bana acha kudandia wake za watu,wewe shida yako kusikiliza taarifa ya habari au kuangalia maumbo ya watu.
 
Mjitafakari kama alivyosema mtoa mada hao wadada ni wazuri sana tena sana ila sasa toka wajiachie hawana mvuto tena.

Ni watoto wadogo tu lakini wanaanza kuonekana kama wako kwenye their 40s

So sad.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna kazi ngumu kama kupungua! Inataka moyo..mie kila nikiamka nachek barabara kama nusu saa narudi ndani..yaan nawaza niende juu au nishushe chini😄😄! Naishia kushika jembe kutoa toa majani..eish Mambo mbele kwa mbele
 
Naam

Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.

Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli

Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.

Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.

Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote

Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu

Mimi nakukubali sana

Jackline Silemu na wewe jitafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni majungu mbona hayo mi
 
Naam

Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.

Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli

Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.

Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.

Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote

Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu

Mimi nakukubali sana

Jackline Silemu na wewe jitafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha majungu ww hayo ni masuala ya mtu binafsi kama yeye karidhika hivyo ww inakuhusu nini angalia uwasilishaji wake wa habari mengine achana nayo,unataka umpangie mtu hadi maisha aishi vipi acha uchimvi we

Sio kila kitu lazima uzungumze mimi nilidhani unazungumzia amekosea kusoma habari kumbe ni mwili wa mtu unauzungumzia huyo dada hajawahi kuwa mwembamba miaka yote yupo hivyo punguza ujuaji na maisha ya watu
 
Back
Top Bottom