JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,324
- 17,911
Wakuu naomba kuelimishwa,nirikuwa muajiriwa wa kampuni moja ya simu,kampuni hiyo imeisha kufa sasa haipo tena kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa, ofisi imefungwa,na waliokuwa wafanyakazi wake kwenye idara ya HR,wote wameajiriwa na kampuni zingine hapa Bongo.
Sasa shida yangu nataka kufatilia mafao yangu ya PPF,Je utaratibu upoje? katika hari kama hii,sasa hivi nipo kwenye ajira nyingine na nipo kwenye mfuko mwingine wa hifadhi ya jamii.
Naombeni ushauri wenu wakuu,amen
Sasa shida yangu nataka kufatilia mafao yangu ya PPF,Je utaratibu upoje? katika hari kama hii,sasa hivi nipo kwenye ajira nyingine na nipo kwenye mfuko mwingine wa hifadhi ya jamii.
Naombeni ushauri wenu wakuu,amen