Mpaka leo hakuna jibu..
Lakn NSSF wanatoa package kubwa zaidi kuliko PPF, niliwahi kusikia maprofesa (PPF) wakilalamika kuzidiwa pension na masekretari wao (NSSF), ingawa mshahara na walikuwa wanawazidi.NSSF ni mwezi but kwa PPF nasikia wapo faster than nssf
Kwa ufupi umedanganywa, hakuna kitu kama hicho, zamani ilikua hivi, kama unafanya kazi kwenye mashirika ya umma kama NSSF wenyewe, PPF, Tanesco, Bandari n.k, uliwajibika kua member wa PPF, NSSF/NPF ilikua ina deal na wafanyakazi wa sekta binafsi tu, kuanzia mwaka 2003/4 hakuna kitu kama hicho, una join mfuko unaoupenda mwenyewe, kama umeacha kazi kwa mwajiri A na umepata kazi kwa Mwajiri B then una option ya aidha kuendeleza michango yako au kuchukua chako na kuanza upya, hapa sasa wadau ndio hua tunahama na mfuko kabisa. Binafsi nimeisha kua memba wa hii mifuko 2 kwa nyakati tofauti but the truth is NSSF ni wasumbufu sana, wanapenda rushwa hao balaa, kwa kumalizia, nadhani wanataka utoe chochote hapo, hakuna kingine.mimi nilikamilisha kila kitu...nikapeleka fomu PPF since mwezi wa 10 mwaka jana hadi leo ninazungushwa tu, wanasema kuwa cwez kujitoa bali wanaweza kutransfer hizo hela zangu NSSF ambako nipo sasa kwa mwajiri mpya...Mwajiri wa zamani (TBL) nilikuwa nachangia kupitia PPF. Cjui kama inawezekana kuhamisha hela kutoka PPF kwenda NSSF maana najua ni mifuko miwili tofauti na kila mfuko una formula zake.
Tatizo ni kwamba ulijichanganya katika kutoa maelezo.PPF ukishakamilisha kila kitu mara nyingi unapelekwa kwa maofisa wa 'marketing' ambao wanakushawishi kutojitoa kwani unaweza kupata kazi tena ukaendeleza michango yako n.k lakini ulitakiwa uwaambie kuwa unajitoa kwani 'hutegemei kuajiriwa tena' na siyo kuwa umepata kazi kwingine.Kwa taratibu za sasa za SSRA unaweza kuhamisha michango (transferability).mimi nilikamilisha kila kitu...nikapeleka fomu PPF since mwezi wa 10 mwaka jana hadi leo ninazungushwa tu, wanasema kuwa cwez kujitoa bali wanaweza kutransfer hizo hela zangu NSSF ambako nipo sasa kwa mwajiri mpya...Mwajiri wa zamani (TBL) nilikuwa nachangia kupitia PPF. Cjui kama inawezekana kuhamisha hela kutoka PPF kwenda NSSF maana najua ni mifuko miwili tofauti na kila mfuko una formula zake.
Sio mbaya kuwa tofauti.Kwani kila kitu lazima kuigana?Tanzania ndo nchi pekee duniani inayotoa fao la kujitoa. Nchi zingine ukijitoa unaambulia patupu..
Sio mbaya kuwa tofauti.Kwani kila kitu lazima kuigana?