Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
HABARI ZA LEO WANA JF;
Fanya yafuatayo ili uishi vyema...
1. Weka neno la Bwana moyoni mwako daima. Zab. 119:11
2. Epuka kuketi mahali pa watu wenye mizaha. Zab 1: 1; Zab 26:5
3. Ulalapo tafakari kitandani mwako mambo mema. Zab 4:4
4. Kamwe usilikose kusanyiko la wacha Mungu. Zab. 27:4 Zab 122:1
5. Chagua marafiki wacha Mungu. Mithali 13:20
6. Mazungumzo mabaya huaribu tabia njema. 1 Kor.15:33
7. Epuka kutazama kusikia mambo yasiyofaa. Isaya 42:18-20; Zab. 119:37
8. Kila ulalapo hakikisha hasira na makwazo yote umesamehe. Waefeso 4:26
MPENDWA TAFAKARI VYEMA UWEZE KUISHI VYEMA.
Fanya yafuatayo ili uishi vyema...
1. Weka neno la Bwana moyoni mwako daima. Zab. 119:11
2. Epuka kuketi mahali pa watu wenye mizaha. Zab 1: 1; Zab 26:5
3. Ulalapo tafakari kitandani mwako mambo mema. Zab 4:4
4. Kamwe usilikose kusanyiko la wacha Mungu. Zab. 27:4 Zab 122:1
5. Chagua marafiki wacha Mungu. Mithali 13:20
6. Mazungumzo mabaya huaribu tabia njema. 1 Kor.15:33
7. Epuka kutazama kusikia mambo yasiyofaa. Isaya 42:18-20; Zab. 119:37
8. Kila ulalapo hakikisha hasira na makwazo yote umesamehe. Waefeso 4:26
MPENDWA TAFAKARI VYEMA UWEZE KUISHI VYEMA.