Fani ya utangazaji imevamiwa

Fani ya utangazaji imevamiwa

uncle

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2007
Posts
325
Reaction score
184
Naamini fani ya utangazaji aidha kwenye television au redio una miiko na taratibu zake. Kwa mtazamo wangu au ufinyu wangu mdogo Wa kuelewa hii fani ninaona kinyume na taratibu ya fani husika. Baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini jinsi vinavyowapata na kuajiri watangazaji,Leo kwa vile MTU ni mzungumzaji sana mtaani kesho anakuwa mtangazaji au MTU akiwa maarufu anastahili kuwa mtangazaji
Hivi in haki kweli kwenye hii fani inayotaka uweledi na hamna chombo kinachosimamia hii fani?
 
its all about money.., if it makes dollars then it makes sense.., kwahio kama kipindi kina wasikilizaji na sponsors, hata kama ni kuonyesha ule mchele mchele wa signal kwenye TV watafanya hivyo.., so long as kuna audience
 
Juzi kati kuna mtangazaji alikuwa ana mhoji muanzilishi Wa jamii forum maswali mengi alikuwa anauliza yanayomlenga yy binafsi na kujisahau kuhusu audience yake. Interest yake kubwa ilikuwa kujua jinsi ya kutengeneza hela kwenye mitandao
 
Kama taasisi ya urais tu imeingiliwa ije iwe iyoutangazaji? Hao walioenda shule katika fani zao wameleta tija gani nchini angalia wasomi nchini walivyo mapopompo. Mfano mzuri tuAyoub Ryoba
 
Mimi naona wapo swa hivi hao wasomi wanasaidia nini hebu muangalie kabudi. Rioba. Kitila. Lipumba. Waaacheni watu wapate risk nchi yote imekuwa kina bashite ndo wanaongoza
 
Utangazaji ni kipaji na si kusomea tu
Utaona mwenyewe redio zenye watangazaji wenye vipaji ndio zipo vizuri na si zenye watangazaji wenye vyeti
Kama unawataka hao wapo Tbc.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Back
Top Bottom