kindoki
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 213
- 218
Wadau,
Nimeomba nafasi ya kusoma katika chuo cha ku-operate mitambo mikubwa pale kijitonyama dsm na nimepata nafasi, mtihani unakuja ktk soko la izo fani baada ya kumaliza kozi yangu ya miezi miwili na ada yake bado sijalipa lakini naomba ushauri nisomee EXCAVATOR au GREDA?
Nakaribisha ushauri ili nijue fani ipi ina soko zuri ili nikimaliza masomo yangu nianze kula mapene.
Nimeomba nafasi ya kusoma katika chuo cha ku-operate mitambo mikubwa pale kijitonyama dsm na nimepata nafasi, mtihani unakuja ktk soko la izo fani baada ya kumaliza kozi yangu ya miezi miwili na ada yake bado sijalipa lakini naomba ushauri nisomee EXCAVATOR au GREDA?
Nakaribisha ushauri ili nijue fani ipi ina soko zuri ili nikimaliza masomo yangu nianze kula mapene.