Mr gyee
Member
- Oct 2, 2018
- 12
- 9
Wakuu habari zenu!
Naomba kusaidiwa kimawazo kwa wale wenye ujuzi wa fani za kusomea kwa mtu aliyemaliza diploma ya Clinical medicine tofauti na MD(medical doctor) na AMO( Assistance Medical officer) ambayo mwisho wa kuisomea hii ni intake ya mwaka huu tu.Naomba kujuzwa kutoka kwa mchupuo huo mtu huyu anawezaje kujiendeleza
Naomba kusaidiwa kimawazo kwa wale wenye ujuzi wa fani za kusomea kwa mtu aliyemaliza diploma ya Clinical medicine tofauti na MD(medical doctor) na AMO( Assistance Medical officer) ambayo mwisho wa kuisomea hii ni intake ya mwaka huu tu.Naomba kujuzwa kutoka kwa mchupuo huo mtu huyu anawezaje kujiendeleza