Fancy Nkuhi Vs. Dr. Hildebrand Shayo

Fancy Nkuhi Vs. Dr. Hildebrand Shayo

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
yaani vituko ni ndani ya CCM. Hivi inaingiaje akilini watu kama Le Baharia LeMutuz na Fancy Nkui waende mbele kwele hatua ya mwisho katika EALA wakati Dr. Shayo anatemwa?? Huyu binti ana nini, au lebaharia wana ujuzi gani kwenda kutetea Tanzania? Ndo maana ardhi yetu itanyakuliwa
 
huyo DR Shayo muulize Nyani Ngabu ana historia yake kamili
 
Umemsikia shayo akiongea; hata kama ana point anavyoitoa kwa kujisikia hakuna atakayempa kura tena ndani ya CCM watamfananisha na Kambona majivuno mengi
 
Nyani, umenichekesha sana! Kwa nini " Dr." unaiweka kwenye mabano?
 
naomba basi namba yake, nimemgoogle ila info humo hazisaidii kumpata - yaani leo nimemkumbuka sana!

You scratch my back, and I'll scratch yours.

Nitafutie whereabouts za yule mtu (NW) na mimi ntakutafutia za huyo unayemtafuta. Deal?
 
You scratch my back, and I'll scratch yours.

Nitafutie whereabouts za yule mtu (NW) na mimi ntakutafutia za huyo unayemtafuta. Deal?

Acha hizo, mbona za NW nimekutafutia na naendelea kukutafutia - nipe za huyo AK47, bethidei yake inakaribia!
 
Haya sasa, kazi kwenu!

Bonyeza hapa, na hapa, na hapa, na hapa, na hapa, na hapa, na hapa.

Nyani Ngabu utanisamehe lakini mimi nitakuita mzandiki. Una roho mbaya sana ya kwa nini??? Hivi unaniambia kwamba Fancy anaweza kujenga hoja zaidi ya Shayo? Bwana hachana na mambo ya roho mbaya kwa watu ambao unawaona wana upeo zaidi yako. Kha... Kwa mwendo huu hatufiki
 
Back
Top Bottom