Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
yaani vituko ni ndani ya CCM. Hivi inaingiaje akilini watu kama Le Baharia LeMutuz na Fancy Nkui waende mbele kwele hatua ya mwisho katika EALA wakati Dr. Shayo anatemwa?? Huyu binti ana nini, au lebaharia wana ujuzi gani kwenda kutetea Tanzania? Ndo maana ardhi yetu itanyakuliwa