pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 112
Habar wana JF,ninaimani mtakuwa wazima wa Afya njema.
Kuna jambo huwa linanitatiza,
Inakuje baadhi familiya nyingi za kitajiri linapokuja suala la uzazi huwa linakuwa gumu kwa pande zote mbili,tofauti na walala hoi tatizo hilo halisumbu?
Karibun tuchangie ndugu zangu.
Kuna jambo huwa linanitatiza,
Inakuje baadhi familiya nyingi za kitajiri linapokuja suala la uzazi huwa linakuwa gumu kwa pande zote mbili,tofauti na walala hoi tatizo hilo halisumbu?
Karibun tuchangie ndugu zangu.