FAMILIA ZETU ZAENDA WAPI

FAMILIA ZETU ZAENDA WAPI

Umeshaoa kwanza?
Namaanisha unayo familia?
Kama hauna, ulichoweka hapa ni pumba tupu.
JF EXPERT!!!HAHAAAAAA
UNAJIULIZA MWENYEWE UNAJIJIBU MWENYEWEE

PATA KAHAWA NTALIPA POPOTE ULIPO...
 
Zamani nilipokuwa mdogo nilikuwa nikiamini wanaokuwa na watoto nje wanafanya makusudi;baada ya kunikuta nikagundua ili usizae nje inabidi uwe na tatizo la nguvu za kiume ili uweze kutulia na mwanamke mmoja.
 
Back
Top Bottom