FAMILIA ZETU ZAENDA WAPI

FAMILIA ZETU ZAENDA WAPI

INTROVERT MAN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
1,039
Reaction score
1,449
Habari za weekend wana jf..... kifupi ni kuwa nikitazama kwa umakini hii dunia pabaya inapoelekea na mabaya yake nimegundua kuwa ni yote yanasababishwa na upenyo mdogo ambao ni mbovu ambao ni malezi mabovu ya siku hizi
Kiufupi FAMILIA ndio msingi wa jamii yoyote ile na ndiyo jamii ya kwanza kabisa katika huu ulimwengu.Kuzorota kwa ndoa naweza sema ndiyo chanzo cha maovu yote katika huu ulimwengu

Hebu angalia tatizo kubwa la watoto wa mitaani, uwepo wa masingle mother na fathers wengi wakizidi ongezeka siku hizi....kiufupi katika dunia yetu maadili yazidi momonyoka kadri siku zinavyozidi kwenda tofauti na miaka ya nyuma kidogo nilivyokuwa nashuhudia na pia kusimuliwa na wazazi wangu

Siku hizi taratibu zile za kuoana si kama zamani.. siku hizi tunachukuana tu ilimradi lakni wazazi wetu hawakuwa hivi..
Shetani ni mjanja sana katika harakati zake za kuupotosha huu ulimwengu kateka padogo tu ambapo ni FAMILIA huku akijua kuwa akiharibu hapa hata taifa then dunia nzima lazima iharibike

Mimi nashukuru Mungu kuwa nimebahatika kupata upendo kamili toka kwa baba na mama kikamilifu kwani hata sasa ukinihoji nani zaidi kati ya baba na mama mimi huwa sina upande nitakaegemea... lakini sisi kina baba naweza sema kwa asilimiA KUBWA sisi wanaume ndio tunachangia familia kuparanyika kwa sababu kadha wa kadha

nini kifanyike basi kuokoa familia zetu??? kwa me navyodhani ni vyema sisi vijana ambao hatujaoa ni tufuate utaratibu wa mababu zetu katika ndoa na malezi..kama mimi nmeapa sitaki kuwa na mtoto kabla ya ndoa wala kuwa na mchepuko nikiwa ndani ndoa wala kuzalia nje pia nimeapa kuwapa wanangu malezi wanayostahili bila kumsahau Mungu wangu ...Karibu kwa mjadala
 
Habari za weekend wana jf..... kifupi ni kuwa nikitazama kwa umakini hii dunia pabaya inapoelekea na mabaya yake nimegundua kuwa ni yote yanasababishwa na upenyo mdogo ambao ni mbovu ambao ni malezi mabovu ya siku hizi
Kiufupi FAMILIA ndio msingi wa jamii yoyote ile na ndiyo jamii ya kwanza kabisa katika huu ulimwengu.Kuzorota kwa ndoa naweza sema ndiyo chanzo cha maovu yote katika huu ulimwengu
Hebu angalia tatizo kubwa la watoto wa mitaani, uwepo wa masingle mother na fathers wengi wakizidi ongezeka siku hizi....kiufupi katika dunia yetu maadili yazidi momonyoka kadri siku zinavyozidi kwenda tofauti na miaka ya nyuma kidogo nilivyokuwa nashuhudia na pia kusimuliwa na wazazi wangu
Siku hizi taratibu zile za kuoana si kama zamani.. siku hizi tunachukuana tu ilimradi lakni wazazi wetu hawakuwa hivi..
Shetani ni mjanja sana katika harakati zake za kuupotosha huu ulimwengu kateka padogo tu ambapo ni FAMILIA huku akijua kuwa akiharibu hapa hata taifa then dunia nzima lazima iharibike
Mimi nashukuru Mungu kuwa nimebahatika kupata upendo kamili toka kwa baba na mama kikamilifu kwani hata sasa ukinihoji nani zaidi kati ya baba na mama mimi huwa sina upande nitakaegemea... lakini sisi kina baba naweza sema kwa asilimiA KUBWA sisi wanaume ndio tunachangia familia kuparanyika kwa sababu kadha wa kadha
nini kifanyike basi kuokoa familia zetu??? kwa me navyodhani ni vyema sisi vijana ambao hatujaoa ni tufuate utaratibu wa mababu zetu katika ndoa na malezi..kama mimi nmeapa sitaki kuwa na mtoto kabla ya ndoa wala kuwa na mchepuko nikiwa ndani ndoa wala kuzalia nje pia nimeapa kuwapa wanangu malezi wanayostahili bila kumsahau Mungu wangu ...Karibu kwa mjadala
WENGI HAWATAFURAHIA HII THREAD YAKO TRUST ME. Shetani yuko busy kwenye mioyo ya watu. Ila nakutia moyo mdogo wangu Nia yako iwe thabiti na Njia zako ziwe nyoofu. Na Mungu akusaidie
 
Wachache watakaokubaliana na wewe ila usiache kuwakumbusha mara kwa mara kuhusu majukumu yao kama wanaume

Cc Kingsmann
 
Mungu akutangulie, it starts with you.
Familia bora inaanza na namna unavyoichukulia familia/ndoa kwa ujumla. Then namna unavyofanya kuipata, then ukiipata namna unavyofanya kuiimarisha kila uchwao.

Hakika taifa bora inaanza na familia bora.
 
Mungu akutangulie, it starts with you.
Familia bora inaanza na namna unavyoichukulia familia/ndoa kwa ujumla. Then namna unavyofanya kuipata, then ukiipata namna unavyofanya kuiimarisha kila uchwao.

Hakika taifa bora inaanza na familia bora.
well said mkuu
 
Kitu pekee ambacho tutakubaliana au kutokubaliana ni kwamba hakuna namna tutarudi zamani maisha yanaenda mbele tena kwa kasi sana kwamba ni kubaya au kuzuri ila ukweli ni kwamba hakuna nmna ya kurudi kule ingawa tunapatamani ila hakuna namna
 
Kwenye suala la mchepuko watakushangaa Sana

Andiko lako nimelielewa Sana.

Wanaume waache kujisahau kwenye majukumu yao
 
Mungu akutangulie, it starts with you.
Familia bora inaanza na namna unavyoichukulia familia/ndoa kwa ujumla. Then namna unavyofanya kuipata, then ukiipata namna unavyofanya kuiimarisha kila uchwao.

Hakika taifa bora inaanza na familia bora.

Umenena [emoji1476][emoji1476]
 
Habari za weekend wana jf..... kifupi ni kuwa nikitazama kwa umakini hii dunia pabaya inapoelekea na mabaya yake nimegundua kuwa ni yote yanasababishwa na upenyo mdogo ambao ni mbovu ambao ni malezi mabovu ya siku hizi
Kiufupi FAMILIA ndio msingi wa jamii yoyote ile na ndiyo jamii ya kwanza kabisa katika huu ulimwengu.Kuzorota kwa ndoa naweza sema ndiyo chanzo cha maovu yote katika huu ulimwengu

Hebu angalia tatizo kubwa la watoto wa mitaani, uwepo wa masingle mother na fathers wengi wakizidi ongezeka siku hizi....kiufupi katika dunia yetu maadili yazidi momonyoka kadri siku zinavyozidi kwenda tofauti na miaka ya nyuma kidogo nilivyokuwa nashuhudia na pia kusimuliwa na wazazi wangu

Siku hizi taratibu zile za kuoana si kama zamani.. siku hizi tunachukuana tu ilimradi lakni wazazi wetu hawakuwa hivi..
Shetani ni mjanja sana katika harakati zake za kuupotosha huu ulimwengu kateka padogo tu ambapo ni FAMILIA huku akijua kuwa akiharibu hapa hata taifa then dunia nzima lazima iharibike

Mimi nashukuru Mungu kuwa nimebahatika kupata upendo kamili toka kwa baba na mama kikamilifu kwani hata sasa ukinihoji nani zaidi kati ya baba na mama mimi huwa sina upande nitakaegemea... lakini sisi kina baba naweza sema kwa asilimiA KUBWA sisi wanaume ndio tunachangia familia kuparanyika kwa sababu kadha wa kadha

nini kifanyike basi kuokoa familia zetu??? kwa me navyodhani ni vyema sisi vijana ambao hatujaoa ni tufuate utaratibu wa mababu zetu katika ndoa na malezi..kama mimi nmeapa sitaki kuwa na mtoto kabla ya ndoa wala kuwa na mchepuko nikiwa ndani ndoa wala kuzalia nje pia nimeapa kuwapa wanangu malezi wanayostahili bila kumsahau Mungu wangu ...Karibu kwa mjadala
Kwa MAN UNTD..EMBU ZIULIZIE HUKO
 
Habari za weekend wana jf..... kifupi ni kuwa nikitazama kwa umakini hii dunia pabaya inapoelekea na mabaya yake nimegundua kuwa ni yote yanasababishwa na upenyo mdogo ambao ni mbovu ambao ni malezi mabovu ya siku hizi
Kiufupi FAMILIA ndio msingi wa jamii yoyote ile na ndiyo jamii ya kwanza kabisa katika huu ulimwengu.Kuzorota kwa ndoa naweza sema ndiyo chanzo cha maovu yote katika huu ulimwengu

Hebu angalia tatizo kubwa la watoto wa mitaani, uwepo wa masingle mother na fathers wengi wakizidi ongezeka siku hizi....kiufupi katika dunia yetu maadili yazidi momonyoka kadri siku zinavyozidi kwenda tofauti na miaka ya nyuma kidogo nilivyokuwa nashuhudia na pia kusimuliwa na wazazi wangu

Siku hizi taratibu zile za kuoana si kama zamani.. siku hizi tunachukuana tu ilimradi lakni wazazi wetu hawakuwa hivi..
Shetani ni mjanja sana katika harakati zake za kuupotosha huu ulimwengu kateka padogo tu ambapo ni FAMILIA huku akijua kuwa akiharibu hapa hata taifa then dunia nzima lazima iharibike

Mimi nashukuru Mungu kuwa nimebahatika kupata upendo kamili toka kwa baba na mama kikamilifu kwani hata sasa ukinihoji nani zaidi kati ya baba na mama mimi huwa sina upande nitakaegemea... lakini sisi kina baba naweza sema kwa asilimiA KUBWA sisi wanaume ndio tunachangia familia kuparanyika kwa sababu kadha wa kadha

nini kifanyike basi kuokoa familia zetu??? kwa me navyodhani ni vyema sisi vijana ambao hatujaoa ni tufuate utaratibu wa mababu zetu katika ndoa na malezi..kama mimi nmeapa sitaki kuwa na mtoto kabla ya ndoa wala kuwa na mchepuko nikiwa ndani ndoa wala kuzalia nje pia nimeapa kuwapa wanangu malezi wanayostahili bila kumsahau Mungu wangu ...Karibu kwa mjadala

Umeshaoa kwanza?
Namaanisha unayo familia?
Kama hauna, ulichoweka hapa ni pumba tupu.
 
Back
Top Bottom