Familia za Kiafrika na uzao wa kustaajabisha

Kuzaa zaa kama funza , ni tatizo sana kwenye jamii za Kiafrika
Kwa mtindo huu hata planning ya maendeleo ya kijamii ni ngumu sana , unajenga shule leo ,mwaka ujao kuna uhitaji wa shule tatu ,na uchumi huu wa ovyo
Kila siku itakuwa ni wimbo ule ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…