FAMILIA YANGU HIYO JAMANI MUNASEMAJe??????????

FAMILIA YANGU HIYO JAMANI MUNASEMAJe??????????

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
1466095_589298694471800_1402286822_n.jpg


Mke amebeba mtoto wa kiume mimi nimebeba mtoto wa kike kazi ipo hapo jamani..............
 
hako katoto ka kike kanaangalia kwa umakini na kwa hisia, wakiume anacheka amajua whts going on!!
 
hongera mkuu.naona mwisho wa mwaka huu jf members wameamua kukata shauri na kuuza sura.juzijuzi aliuza sana money stunna.leo mkongwe mzizimkavu na familia yake.safi sana.kesho zamu yangu.
 
Ndio maana huwa namuuliza huyu MziziMkavu ana miaka mingapi?

Ndio nini kuchukuwa picha za wenzako kuja kuzibandika JF na kujidai kuwa ni "familia: yako?

Hiyo picha ipo mtandaoni siku nyingi na imewekwa kwenye board na mtu ajiitae Lebrn Arda, fata hii link: Black Men White Women = Love | via Tumblr | We Heart It

ayaaa!, asante ff kumbe jamaa alikuwa anatupiga maboya.napata shaka hata zile picha za money stunna zilikuwa za kichina pia.duu watu wameamua kufunga mwaka kwa style.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom