Familia ya Jitambue Popote Mlipo

Ndebile

JF-Expert Member
Sep 14, 2011
7,237
9,867
Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.
 
Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.

mi mmojawapo.. Nilisikitika sana kusikia kifo cha yule jamaa.. Kwa kweli Taifa lilipoteza kichwa cha muhimu sana. Waliokuwa wakifuatilia mgazeti yale na vipindi vya luninga,wanaelewa ninachokisema...
 
mi mmojawapo.. Nilisikitika sana kusikia kifo cha yule jamaa.. Kwa kweli Taifa lilipoteza kichwa cha muhimu sana. Waliokuwa wakifuatilia mgazeti yale na vipindi vya luninga,wanaelewa ninachokisema...

Elimu ya Utambuzi idumu!Inatufundisha mambo mazuri!
 
Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.

Sikuwa mwanachama wa Jitambue. Ila nilikuwa msomaji mzuri sana wa magazeti ya Jitambue na Mshauri. Na haikuwahi kutokea nikakosa kusoma Jitambue. Hakika tumeikosa ladha tofauti na ya pekee. Vipi, kampuni ya TK MEDIA inataka kuanza uchapishaji upya? JITAMBUE, ni ladha tofauti na ya ukweli.
 
Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.

Dah!! Umenigusa paleple. Nimekuwa Mwanachama wa Miaka yoote. Lakini Kifo cha Munga kimetupokonya Mtu muhimu sana. Gazeti JITAMBUE lilitoa faraja kwa wenye Msiba, wenye shida na kila nyanja ya maisha. Lilitufanya tukubali hali halisi ya maisha tuliyonayo kwani lilitupa moyo. Niliwahi kumuuliza Mke wa Marehemu Munga kama kuna uwezekano wa kulirudisha mitaani akasema itachukua muda mreefu na ikishindikana litauzwa kwa mtu mwingine kuliendeleza. Hata hivyo alisema ataliuza kwa mwenye kuendeleza Elimu ya Utambuzi na sio Udaku.
 
Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.[/QUOTE
WEKA MAWASILIANO YAKO HAPA WAZI HII SIO SIRI!
 
Sikuwa mwanachama wa Jitambue. Ila nilikuwa msomaji mzuri sana wa magazeti ya Jitambue na Mshauri. Na haikuwahi kutokea nikakosa kusoma Jitambue. Hakika tumeikosa ladha tofauti na ya pekee. Vipi, kampuni ya TK MEDIA inataka kuanza uchapishaji upya? JITAMBUE, ni ladha tofauti na ya ukweli.

Mimi pia sikuwa mwanachama bali msomaji tu wa kawaida. Najaribu kutumia JF kuwahimiza hata wale waliokuwa wakiandia makala kwenya magazeti hayo wajitokeze tuone la kufanya.
 
Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.[/QUOTE
WEKA MAWASILIANO YAKO HAPA WAZI HII SIO SIRI!

lengo ni kutafuta jukwaa la kutuunganisha,najua umoja ni nguvu...binafsi baada ya kupotea kwa yale magazeti bila shaka kutokana na kifo cha Munga niliendele kutafuta machapicho yenye mwelekeo huo,yapo mengi hasa kwenye mtandao...nadhani pia wengine walifuata mwelekeo kama wa kwangu. Je,tukiunganisha maarifa yote pamoja hamuoni tutasonga mbele? Kuanzisha gazeti inahitajika nguvu kubwa lakini kupeana taarifa kunahitajika moyo wa upendo tu,
 
Elimu ya Utambuzi idumu!Inatufundisha mambo mazuri!

Nina maisha mazuri yenye malengo kwasababu ya JITAMBUE,ninautawala mwili wangu badala ya mwili kunitawala mimi....kila nikiangalia watanzania wenzangu kazini,majirani,abiria wenzangu ninapokuwa kwenye daladala na pia hapa JF nahisi japo kidogo nimeweza kuwa tofauti...Kwanini lakini tusiungane tukagawana hiki kidogo tulichojifunza?
 
Mimi pia sikuwa mwanachama bali msomaji tu wa kawaida. Najaribu kutumia JF kuwahimiza hata wale waliokuwa wakiandia makala kwenya magazeti hayo wajitokeze tuone la kufanya.

Bila shaka waliokuwa wakitoa Makala za Utambuzi wapo. Wajitokeze. Baadhi nawakumbuka kama Guru Francis. Shabani Kaluse, Haroun Janah, Stella Kamitu, Amri Gembe, Juma Yona na Asha Mkindi. Hawa woote walichangia kutoa Makala ktk Jitambue. Wako wapi? Kwanini wasikutane wakakubaliana kurudisha Gazeti la Jitambue hata kama ni kwa Sura nyingine? Watu tunalishwa Upuuzi kwenye Udaku.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom