Wewe upo chadema au upo wapi? Vijana wa chadema baadhi wanasema yu mahututi wengine wanasema ameshafariki serikali inaficha ukweli.
Familia inasema jamani chadema fanyeni mambo yenu.iacheni familia yao.mkuu wa majeshi yupo salama salmini nje ya nchi.
Hivi wewe unayeipangia familia ya mkuu wa majeshi mtu wa kutoa taarifa za kifamilia wewe ni nani? Pelekeni bangi zenu huko.pumbavu
Ukweli ni ukweli na uongo ni uongo tu. We unadhani uongo hata ukirushwa kupitia iPhone 7 utabadilika kuwa ukweli? Acha watu wahangaike nao, muda ukijiri ukweli utajulikana tu.Ujumbe wa fb ktk simu ya mchina ya kijana wa gheto unaisumbua wenye akili na wadanganyika.
Aongee Mwamunyange sio Mtu mwingine yeyote
Ameshakuwa Mkuu wa majeshi sio mkuu wa familia, anatuhusu wote huyu, kwa nini familia inambinafsisha!?Hivi wewe unayeipangia familia ya mkuu wa majeshi mtu wa kutoa taarifa za kifamilia wewe ni nani? Pelekeni bangi zenu huko.pumbavu
Ni baada ya taarifa kuzagaa mitandaoni juu ya kulishwa sumu kwa mkuu huyo.
Familia imesema anaendelea vizuri na yupo nje ya nchi kwa majukumu ya kitaifa.
Chanzo: Kaka wa Jenerali Davis Mwamunyange.
ITV
kwanini kaka na dada kwani mkewe yuwapi...washanunuliwa hao
Ahaaaaahaaaa hv mkuu wa majeshi anakuwa nje ya nchi kwa zaidi ya mwezi, Je, mkuu wa majeshi anaenda mission za kijeshi, je anaenda kusoma? watuambie anaumwa tu labda anatibiwa sawa.
By the way, Jenerali aliondoka peke yake kwenda huko Utaliano? Au lilikuwa jopo, a.k.a. msafara?Mtu mmoja ajaribu kutumia ujuzi zaidi kuona huko Italy kama kulikua na ugeni wa kijeshi kutoka Tanzania
Halafu kwanini atumwe ktk kipindi muhimu kama hiki? .....atakuja hivi karibuni... lini? Baada ya uchaguzi au akishastaafu?
Anapisha nini?
Akiwa hayupo nani in charge?
Wanajeshi kipindi kama hiki wabatakiwa kuwa standby, kwanini CDF atumwe nje?
Kwani kuhusu Kigoda kulikuwa na sababu gani ya kutotangaziwa mapema?
Aliye kanusha kwa picha za library ni wa chama gani????Wahuni wa chadema wanasambaza uzushi kuwa general amefariki.sijuwi wanapata faida gani hapa.wana siasa nyepesi sana.
Mtu mmoja ajaribu kutumia ujuzi zaidi kuona huko Italy kama kulikua na ugeni wa kijeshi kutoka Tanzania
Ballali, siyo Bilali, dear Evelyn SaltHata familia ya bilali ilithibitisha kuwa jamaa karudisha jezi wakati hata mwili hawakuuona
cdf rejea mapema ili tuwaumbue hawa nyumbu.wamezidi uzushi na umbeya.