Familia inahitaji ushauri wenu wanajf

mammamia, nahisi kama hukumu yako ya pili haiko practical vile... kila maid unayempata anakuambia mi nataka kurudi kwety umtafutie escort, mbona itakuwa kibarua? sanasana tunawapakia kwa gari na kumkabidhi konda na kuwaarifu nduguze. its very complicated kuishi na hawa watu,plans zao huwa wanazijua wenyewe! mungu tu anasaidia aisee!
Makosa mawili mliyofanya hayawezi kurekebishika. Kwanza kukaa naye muda wote huo bila ya kujua kwao ni wapi, wazazi wake ni akina nani, kutomuuliza huyo mama aliyewaletea habari zote zinazomhusu.Kosa la pili ni pale aliposema anarudi nyumbani mkamwacha aondoke bila ya kujua anaelekea wapi. Laiti mmoja wenu angamsafirisha hadi kwao!Kilichobaki ni kukubali jukumu lenu. Ikiwa hamjui kwo wapi, mzikeni hapo hapo mlipo, lakini ni lazima mbebe jukumu hili. Poleni sana kwa msiba.RIP HG.
 
inaonekana kwenu mlinfukuza ninyi ila hapa unajaribu kupindisha.........maana kama aliondoka kwenu na akawa anaranda mtaani nani kaja kuwapa habari za msiba?..

kwa nini mnaumia leo baada ya kuona kafariki ila wakati anaranda mtaani hamkuchukua jukumu la kumuuliza na pia kumsafirisha hadi kwao?

familia yenu/yako inahitaji lawama na hukumu... na hii tabia iko kwa familia nyingi sana nimeziona huko Tanzania....kuna mtu nae alikuwa anakaa na mtot wa watu yule binti akafariki...ile kurudisha maiti wazazi waliikataa na ikawekwa uwanjani(uwanja wa mpira) walikaa nayo hapo kwa siku kama 4 hivi mpaka mkuu wa wilaya akaja...kuwasihi wazazi wa marehemu lakini bado walikataa...
 
inaonekana kwenu mlinfukuza ninyi ila hapa unajaribu kupindisha.........maana kama aliondoka kwenu na akawa anaranda mtaani nani kaja kuwapa habari za msiba?..kwa nini mnaumia leo baada ya kuona kafariki ila wakati anaranda mtaani hamkuchukua jukumu la kumuuliza na pia kumsafirisha hadi kwao?familia yenu/yako inahitaji lawama na hukumu... na hii tabia iko kwa familia nyingi sana nimeziona huko Tanzania....kuna mtu nae alikuwa anakaa na mtot wa watu yule binti akafariki...ile kurudisha maiti wazazi waliikataa na ikawekwa uwanjani(uwanja wa mpira) walikaa nayo hapo kwa siku kama 4 hivi mpaka mkuu wa wilaya akaja...kuwasihi wazazi wa marehemu lakini bado walikataa...
nikweli kwamba aliondoka kwa hiari yake,hata hivyo alikuwa ni kijana mkubwa tu kama miaka 32 hivyo swala la kumpeleka hadi kwao lilikua gumu,hata ivyo kama hakutaka kwenda ingekua ngumu kumkamata kumrudisha kwao
 
Back
Top Bottom