Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Wakati Tunampongeza Mzee Lowassa kwa kupata Mkwe pia tutumie nafasi hiyo kutafakari hadi wale wenye ujuzi wa kusoma picha
Katolewa lupango?Wakati Tunampongeza Mzee Lowassa kwa kupata Mkwe pia tutumie nafasi hiyo kutafakari hadi wale wenye ujuzi wa kusoma picha
View attachment 1153895
HawakutualikaBongo kila mtu anajidai MNAJIMU. . JPM mmeshindwa kusoma picha zake hadi leo mnahangaika na Lowasa.
Hiyo picha ukiisoma vizuri utaona ameshiba vyakula na gesi imejaa tumboni.
Hata wangenialika ningeshindwa kwenda kwa sababu situmii pilipili mkuu.Hawakutualika
Tumuache mzee wetu amalizie uzee wake kwa amaniWakati Tunampongeza Mzee Lowassa kwa kupata Mkwe pia tutumie nafasi hiyo kutafakari hadi wale wenye ujuzi wa kusoma picha
View attachment 1153895
Mkuu nakubaliana na ww asilimia mia. Mtu anashindwa kuelewa kuwa picha inacapture a moment in a second, mtu anaweza akawa amefumba macho akapigwa picha then atakayetazama hiyo picha akafikiri huyo mtu alikuwa amelala kitu ambacho in reality hakikuwa hivyo.Huwa kuna muda nafikiri thinking capacity na reasoning capability of most Tanzanians iko low sana, kuna vitu sio vya kufanyia mzaha kabisa. Najiuliza how would you feel if the person whom you're joking about this instant is a relative or a family member to you!?
Wakati mwingine Hekima na Busara ni kitu cha bure kabisa, na Mungu katupa akili ya kuzaliwa ambayo hata mtu ambaye hajaenda shule anaweza itumia ipasavyo..
Shame on you
Halafu wewe Semenya unapenda kulakula tuu.Bongo kila mtu anajidai MNAJIMU. . JPM mmeshindwa kusoma picha zake hadi leo mnahangaika na Lowasa.
Hiyo picha ukiisoma vizuri utaona ameshiba vyakula na gesi imejaa tumboni.
Mkononi hujaona kashika nini huyo aziziHapo kwenye hiyo meza kuu, wako vigogo wawili tuu, kuna Chupa MBili za vinywaji vikali, moja inaonyesha iko tupu na ya pili wameshateremsha robo. Tena inaonyesha huyo Muislamu mchwara ndiye bado yuko bado yuko fit, sijui kameza kipande cha siagi, ama kala halua au Mirungi/
Muislamu uchwara.??Hapo kwenye hiyo meza kuu, wako vigogo wawili tuu, kuna Chupa MBili za vinywaji vikali, moja inaonyesha iko tupu na ya pili wameshateremsha robo. Tena inaonyesha huyo Muislamu mchwara ndiye bado yuko bado yuko fit, sijui kameza kipande cha siagi, ama kala halua au Mirungi/
Huwa kuna muda nafikiri thinking capacity na reasoning capability of most Tanzanians iko low sana, kuna vitu sio vya kufanyia mzaha kabisa. Najiuliza how would you feel if the person whom you're joking about this instant is a relative or a family member to you!?
Wakati mwingine Hekima na Busara ni kitu cha bure kabisa, na Mungu katupa akili ya kuzaliwa ambayo hata mtu ambaye hajaenda shule anaweza itumia ipasavyo..
Shame on you
Mwambie mhudumu akiongeze chapati mbili nakuja kulipa, kama huko uliko ni usiku mwambie akuongezee bia au wine, chochote anachotumia nalipa mkuu. Hahahahaa.Bongo kila mtu anajidai MNAJIMU. . JPM mmeshindwa kusoma picha zake hadi leo mnahangaika na Lowasa.
Hiyo picha ukiisoma vizuri utaona ameshiba vyakula na gesi imejaa tumboni.