T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Ccm inaendelea kusimamia na kutekeleza falsafa yake ya kujisafisha kwa kuwatema na kuwatenga makada wake wenye dosari za ufisadi,matumizi mabaya ya madaraka na kashfa mbalimbali. Ccm kisimame imara kijisafishe na kisitetereke. Kisimamie misingi ya kuundwa kwake na kirudishe maadili na uzalendo wa wanachama wake kwa taifa letu.