Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,188
- 7,016
Ritz Mnaotumiwa kama madodoki ni nyinyi Mnaogawa hizi Rasilimali za hii nchi kwa vihongo vidogo vidogo halafu mkitolewa madarakani manafreeze vihela vyenu kama walivyomfanyia Gadaff na wanawe hizo hela za Uswisi zitarudi tuuMkuu usilete mazoea Movement for Change M4C ni Falsafa ambazo wafadhili kutoka nje ya nchi wanazitumia kwa Chadema, ukienda Zimbabwe kwa Morgan Tsinvagirai kuna MDC, ukienda Uganda kuna A42, ukienda Kenya kuna ODC Raila Odinga..
Wafadhili wa hivyo vyama hiyo ndio falsafa yao wanawatumia lakini nyie ambaye mnatumia hamjui chochote masikini mnatumiwa kama madodoki.
Kama Nepi anakagua spelling kwanza kabla hajakulipa, kwa hii post umeshakosa 500/-.[h=2]Falsafa za Chadema zinaibuka na kuyeyeka kila msimu[/h].
Mkuu usilete mazoea Movement for Change M4C ni Falsafa ambazo wafadhili kutoka nje ya nchi wanazitumia kwa Chadema, ukienda Zimbabwe kwa Morgan Tsinvagirai kuna MDC, ukienda Uganda kuna A42, ukienda Kenya kuna ODC Raila Odinga..
Wafadhili wa hivyo vyama hiyo ndio falsafa yao wanawatumia lakini nyie ambaye mnatumia hamjui chochote masikini mnatumiwa kama madodoki.
Najua hizi nchi za nje zinatucheka sana kwa kuwa na natural resources ila umaskini bado upo kama kawa na utaendelea kama tutaendelea kuwa hivi tulivyo we need to change
Nimeongea na kiongozi mmoja kutoka NGO moja nchini anafichua kwamba ili Chadema kionekane kweli machoni mwa mataifa hayo ya magharibi kwamba ni chama cha siasa chenye dhamira ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini, wameamuaa kulitumia neno waliopewa na wafadhili wao Movement for Change (M4C) ili kujihalarishia uhalali wa kuendelea kufaidi mamilioni ya shilingi yaliyotengwa na mataifa hayo ya kikoloni ili yaweze kurejea kuzitawala kiuchumi nchi za kiafrika Tanzania ikiwemo.
Mkuu hii thread kakurupuka usingizini akaja nayo bila ya kufikiria upande wao leo hapati hata shilingi kutoka kwa mfadhili wao NapeHebu tofautisha hizi.jembe na nyundo,ujamaa,tunachuku tunaweka uwaaa! ari mpya kasi mpya nguvu mpya,kasi zaidi,tumedhubutu tumeweza tunasongambele,vua gamba gwanda vaa uzalendo.NOTE.FALSAFA NI IMANI.ILI UIFIKIE IMANI UNATUMIA ITIKADI AMBAYO SAWA NA NJIA YA KUIFIKIA FALSAFA ULIYONAYO.
Anamsubiri Zomba aje a paste madata yake kutoka kwenye blog za CCM na WikipidiaWapi njiwa, Rejao, tume ya katiba, ally kombo njooni mumsupport shosti yenu huku...
Mkuu Wangu.
Ni bora ujiandae kuhesabiwa tu, hakuna hoja ya msingi unayoweka hapa!
Kumbuka watakao hesabiwa Usiku ni wale wenye mahitaji maalumu, usifungulie mtu usiku usije pelekwa Mabwepande!
Umesahau kuweka source moja ambayo ni blog ya CUF na CCMNihasabiwe vipi wakati sensa tayari mmeishafanya muda mrefu..
Wakiristo 45% Waislam 35% Source Ofisi ya Waziri Mkuu.
Wakiristo 52% Waislam 32% Source TBC.
Wakiristo 45% Waislam 40% Source Bodi ya Utalii.
Wakiristo 44% Waislam 34% Source Tovuti ya Wakatoliki.
Umesahau kuweka source moja ambayo ni blog ya CUF na CCM
Falsafa ya CHADEMA ni,CHADEMA kinaamini katika Nguvu ya Umma
Itikadi ya ni mrengo wa kati
tembelea Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)