Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Mikataba mingi Tanzania imekuwa ikilalamikiwa. Walalamikao wamekuwa wakituma shutuma na tuhuma za kukosa uzalendo na ubinafsi upande wa Watanzania wanaotuwakilisha kwenye mikataba hiyo. Hoja yangu: Falsafa ndio chanzo, katu si ubinafsi au makusudi. Angalia bit.ly/Ngombe kwa mfano.
Tuchukulie mfano wa helium.
Sivyo?
Mlenge
Tuchukulie mfano wa helium.
- Hivi helium ilipo hapo chini ya ardhi. Mmiliki ni nani?
- Mitambo ya kuchimbua helium itakapoletwa nani anamiliki mitambo?
- Gesi ya helium ikishachimbuliwa ikaja juu ya ardhi, nani anaimiliki? Kwa nini?
Sivyo?
Mlenge