Fake friends

aiseee wew kuna kitu kimekukaba hebu kitapike

Yani rafiki unadhani ni msiri wako unamwambia jambo alipeleka kwenye bar arafu mnakutana mnaongea mengine. Kesho unayasikia mtaani. Kuna mtu kanikera sijapata kuona ila nimemwambia live bila chenga.
 
Uko sawa, lkn huwez kuwatambua hivi hivi mpaka wakuachie doa ndo utajua ni rafiki wanafiki!! Ila wabaya hao Bora mchawi!!

Ya madam d wameniachia doa kweli ila mimi ni mpiganaji ninasonga tu. Mungu mkubwa
 
How do you choose friends says a lot on how you choose a spouse. Unachaguaje marafiki wewe? Mimi nina marafiki wengi sana; wazuri kweli na ninawapenda wote. Ila kuna mtu ukiongea nae masaa mawili tu unamsoma na kutambua sio rafiki
 
How do you choose friends says a lot on how you choose a spouse. Unachaguaje marafiki wewe? Mimi nina marafiki wengi sana; wazuri kweli na ninawapenda wote. Ila kuna mtu ukiongea nae masaa mawili tu unamsoma na kutambua sio rafiki

You are right.
 
Heri adui wa wazi kuliko rafiki mnafiki,,wanashida hao,ni hatari
 
hakuna rafiki zaidi ya nafsi yako mwenyewe, jiulize waliokuwa best friends primary, secondary schoo au chuo upo nao sasa.. hapo utajua wewe ndio rafiki wa kweli wa moyo wako TAKE CARE.
 
Rafiki yangu ni mama yangu, akianza kunisuta sawa, mara aninunie, mara anichekeee....Ye ndo msiri wangu....
raha tupu....najua huu ni urafiki wa milele hapa duniani hadi kesho peponi....
Sihitaji marafiki.....
 
Kabisaaa wengine wanafiki tuu. Sina rafiki and I dnt need them at all
Rafiki yangu ni mama yangu, akianza kunisuta sawa, mara aninunie, mara anichekeee....Ye ndo msiri wangu....
raha tupu....najua huu ni urafiki wa milele hapa duniani hadi kesho peponi....
Sihitaji marafiki.....
 
Bora umeliona hilo....marafiki ni shida tu waone kama vitu visivo na umuhimu wawepo wasiwepo hawana madhara yoyote na wewe!!!!

bora urafiki wa keyboard tu, lakini mkishaanza kufatana sijui unatoka na mashosti ni sheedah haswaaa.
 
marafik wa kweli ni mamayo na babayo..waliobaki "anything can happen at any time t"...but hilo halijustify kutokua na marafiki asee!
 
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…