mpendwa,
1. wewe unaweza kujua yatakayokuwapo kesho, ama waweza kuidhibiti hiyo kesho?
2. hivi kwa kwenda kazini maana yake unajua litakalokuwapo kesho ama unaweza kuidhibiti hiyo kesho?
3. kwa kulima shamba maana yake unajua litakalotokea mwisho wa msimu, au unaweza kuudhibiti msimu?
4. ukianza kujenga unajua litakalotokea mwisho wa ujenzi, au unaweza kuudhibiti muda wote utakaochukuliwa kwa ujenzi?
5. ukianza masomo maana yake unajua litakalotokea utakapomaliza shule, au waweza kuudhibiti muda wote utakaochukua masomoni?
6. nk.
labda mie ndiye nina matatizo na itabidi niongeze bidii kujifunza maisha,
asante mpendwa na Mungu awabariki wote