STERLING2014
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 239
- 74
Iyo hapoUkienda kwenye interface ya My Computer uki-right click kisha uka-left click Properties utaona processor imeandikwa ngapi.
Either way install momo player
Iyo hapoUkienda kwenye interface ya My Computer uki-right click kisha uka-left click Properties utaona processor imeandikwa ngapi.
Either way install momo player
Processor ndogo boss ni 1.6
Kwa iyo kwa processor hiyo ni ngumu kufanikiwa kuweka emulator ya android mkuuProcessor ndogo boss ni 1.6
Ni ngumu kufanya emulator ifanye kazi smoothlyKwa iyo kwa processor hiyo ni ngumu kufanikiwa kuweka emulator ya android mkuu
Mbona kama hzo 1.6 zpo mbiliNi ngumu kufanya emulator ifanye kazi smoothly
Unahisi tukijumlisha ndiyo inakua 3.2?Mbona kama hzo 1.6 zpo mbili
Ndioo mkuu au ikoje iyooUnahisi tukijumlisha ndiyo inakua 3.2?
hahahah akijibu nitagiUnahisi tukijumlisha ndiyo inakua 3.2?
Ndioo mkuu au ikoje iyoo
Wacha nijaribu hio juu nimepewa na Chief Mkwawa ikigoma nayo itanipasa kubadili window kutoka 7 kwenda 10 Ingawa 10 siipendi.Ishu kama hiyo hiyo niliisolve kwa kuinstall mashine windows 8
Nimefanikiwa kuipakua hii na kui install, ingawa haitaki whatsapp kukubali inasema not compatible with my device lakini apps zingine zinakubali, nashukuru sana.kama zinagoma nyingi pengine ni tatizo la virtual player,
hebu jaribu na hii momo app player. ni ya kikorea ila nayo nzuri unaweza ukabadili ikaenda kingereza
Download Momo App Player for PC / Windows 10 , 7 & 8.1 [English Version]-TechApple
mkuu cpu kama intel ama amd zina support hardware virtualization kwa ajili ya emulator. ieke on kwenye bios soma zaidi hapaMkuu mm yangu nimeshainstall lakin nikiifungua inaleta ujumbe km huo nisaidieView attachment 811012
mkuu hio whatsapp una install toka playstore? jaribu kueka manual toka site yao.Nimefanikiwa kuipakua hii na kui install, ingawa haitaki whatsapp kukubali inasema not compatible with my device lakini apps zingine zinakubali, nashukuru sana.
Tumia NOX player hii iko faster japo kwa features imezidiwa na Bluestacks lkn ipo poa sana. Hata bluestacks unaweza tumiaJamani na cc wenye pc za 2gb ram tunaweza kutumia android emulator ip!
Jaribu kudowload vlc apk kupitia play store au download manually kisha iweke uone. Jaribu Nox player hii ni nzuri pia unairoot kisha video, picha na audio unazopata kwenye whatsApps na site zingine unazuhamishia kwenye pc unacheki.Kwangu nime-install lakini haiplay video clips... msaada