Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Usicheke mkuu. Labda watu wameshaanza dozi na wao, ila.wanawasema tu washkaji wa Dar
Usicheke mkuu. Labda watu wameshaanza dozi na wao, ila.wanawasema tu washkaji wa Dar
Dar kuna vituko jamani, mbona me nikipiga ugali nyama choma mbauda au kwa morombo.show inakua ya kibabe.Kazi kwenu wanaume wa Dar!! Mshindwe wenyewe sasa!
Zinc mtaalamu nikikuona hua nafurahi sanaMtindi fresh maana ake nn!? Ni fresh tutumie, au ni mtindi tutumie!!!
Ahsante mkuu umesomeka ubarikiweHivi karibuni kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichangawa na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo. Ikiwa wewe unatatizo la kuwahi kufika kileleni basi inasadikika ya kwamba kitunguu swaumu ni tiba tosha.
Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na sifa zifuatazo:
Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.
Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari.
Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini.
1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja. Kigawanyishe katika punje punje
2. Chukua punje 6
3. Menya punje moja baada ya nyingine.
4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10
Baada ya hapo meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.
muungwana blog
Mkuu VP! Haya mambo mazito sanaZinc mtaalamu nikikuona hua nafurahi sana
Wanataka wafurahie tendo mkuu. ASA wewe mwanaume unatia tu baada ya seconds 30 inaanza ahaaaashiiii. Manina walahKwanini nyuzi nyingi za njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume zinaletwa na wanawake /wadada wa Jf. Naomba kufahamishwa juu ya hilo.
#naenda_zimbabwe
Hivi karibuni kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichangawa na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo. Ikiwa wewe unatatizo la kuwahi kufika kileleni basi inasadikika ya kwamba kitunguu swaumu ni tiba tosha.
Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na sifa zifuatazo:
Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.
Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari.
Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini.
1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja. Kigawanyishe katika punje punje
2. Chukua punje 6
3. Menya punje moja baada ya nyingine.
4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10
Baada ya hapo meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.
muungwana blog
Kwani mkuu na wewe una hilo tatizo hadi utake kuelewa zaidi?Mtindi fresh!!!
Hapo sijapaelewa
Hahahahah bora umekuwa mkweliHahaha mkuu umeuwaaa!! Mi ni mwanaume wa Dom ila nitatumia dozi
Hata mm hapa cjaelewa kbsaa, labda ni mtindi au freshMtindi fresh!!!
Hapo sijapaelewa
nadhani labda ni ule mtindi usiotoka viwandani kwenye makemikali kwa kuwa tiba ina onekana kiasilia zaidi hivyo ni mtindi fresh kutoka kwa ng'ombe, mbuzi nk bila kupita ktk kemikali zozote zile au kuongezwa vikemikaliHata mm hapa cjaelewa kbsaa, labda ni mtindi au fresh
huwa nakasirika sana na sms sijibuMkuu naongezea apo, akituma text kwa man mwenzake anamuita My, Wangu, na maneno mengine kama,,, Nesheeedah, Veepeee?,,,,, Mwanaume kutumia haya maneno sio kabisa, inaboa kinoma,,,,,,
Uliwahi kumjaribu mmoja wetu?Huu ni ujumbe maalum kwa wanaume wa dar maana ndo mdebwedo kweli kweli
kwani mkuu na wewe una hilo tatizo hadi utake kuelewa zaidi?
Hilo tatizo limezidi miaka hii sidhani kama wazee wa zamani nao walikuwa wanatafuta tiba mbadala kiasi hiki, hahahahahha ha haa!! wewe pita tu hawa watu watatuuwa.
Juzi niliona uzi wa mlengo huu huu dawa ikawa sijui magome ya mronge sijui mbegu yaani!!!