Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

Hivi karibuni kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichangawa na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo. Ikiwa wewe unatatizo la kuwahi kufika kileleni basi inasadikika ya kwamba kitunguu swaumu ni tiba tosha.

Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na sifa zifuatazo:

Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.

Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari.

Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini.

1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja. Kigawanyishe katika punje punje
2. Chukua punje 6
3. Menya punje moja baada ya nyingine.
4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10

Baada ya hapo meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.




muungwana blog
Ahsante mkuu umesomeka ubarikiwe
 
Kwanini nyuzi nyingi za njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume zinaletwa na wanawake /wadada wa Jf. Naomba kufahamishwa juu ya hilo.


#naenda_zimbabwe
Wanataka wafurahie tendo mkuu. ASA wewe mwanaume unatia tu baada ya seconds 30 inaanza ahaaaashiiii. Manina walah
 
Hivi karibuni kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichangawa na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo. Ikiwa wewe unatatizo la kuwahi kufika kileleni basi inasadikika ya kwamba kitunguu swaumu ni tiba tosha.

Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na sifa zifuatazo:

Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.

Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari.

Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini.

1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja. Kigawanyishe katika punje punje
2. Chukua punje 6
3. Menya punje moja baada ya nyingine.
4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10

Baada ya hapo meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.

muungwana blog

Mkuu hiyo ni dawa ya magonjwa mengi sana,mimi huwa natumia tembe 3 zilizomenywa na kukatwa vipande vidogo vidogo nameza pamoja na mtindi glasi moja asubuhi siku 5 kwa wiki.Nafanya hivi kila miezi 2 halafu napumzika mwezi 1.

Imenisaidia sana kwenye BP kutoka 140/90 hadi 124/83 ,na blood sugar and cholesterol is normal.
 
Hata mm hapa cjaelewa kbsaa, labda ni mtindi au fresh
nadhani labda ni ule mtindi usiotoka viwandani kwenye makemikali kwa kuwa tiba ina onekana kiasilia zaidi hivyo ni mtindi fresh kutoka kwa ng'ombe, mbuzi nk bila kupita ktk kemikali zozote zile au kuongezwa vikemikali

kumbuka kuna maziwa fresh pia. naisi kutakuwa na mtindi fresh.

Bado naisi na kuzani, hivyo sijapata jibu.
 
Haya yote ni kupoteza muda, acha stress, fanya mazoezi,kunywa maji ya kutosha,acha kula vyakula vyenye mafuta mengi kama Chipsi n.k. hilo tatizo litakwisha mara moja.
 
ha ha haa!! wewe pita tu hawa watu watatuuwa.

Juzi niliona uzi wa mlengo huu huu dawa ikawa sijui magome ya mronge sijui mbegu yaani!!!
Hilo tatizo limezidi miaka hii sidhani kama wazee wa zamani nao walikuwa wanatafuta tiba mbadala kiasi hiki, hahahahah
 
Back
Top Bottom