Faida za vibamia

mkuu unakula kuku na mayai utalaanika wewe
Nimesumbuliwa mpk nimechoka ... Nkawa cna namna ikabd niwe nawapa tu, na mpk wameamua kupangiana ratiba, tatizo kila nkitembea hogo langu hili mda wote linawika tu so ndo wakanigundua bs ni burudan tu... Jion nkitoka mihangaikon loh.. Kiulaiiin naenda kusuuzwa roho
 
hahahahahahah uchokozi huo, hv umeanza lini kutoamin majibu yangu best yangu?
Trust no one shogangu
jje's Sikuamini amini kidogo sijui kwanini hata
Halafu umeongeza jinsia nyingine me lini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…