Faida za uyoga kwa Binadamu

Mjengajiafya

Member
Feb 2, 2023
58
44
Uyoga umekuwa ukitumiwa kwa miaka takribani 400 iliyopita katika kutibu magonjwa mbalimbali ya mwanadamu hasa katika Falme za kichina walitumia sana uyoga mwekundu kujitibia. baadhi ya kazi za uyoga ni

Huongeza Kinga mwilini ( Unapandisha CD4)
Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
Huongeza nguvu Mwilini
Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
Huondoa Sumu mwilini
Huondoa uvimbe mwilini
Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
Ni nzuri kwa wenye shida ya Figo
Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
Huimarisha macho
Huongeza nguvu za kiume
Huondoa vimelea vya Saratani
Huimarisha ngozi yako
Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
Hutibu Ugumba
Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali
Huukinga mwili dhidi ya virusi
Inazuia cancer (saratani)
Huzuia maambukizi ya bacteria

Uwe unaumwa au huumwi uyoga ni kitu sahihi na Ni muhimu kutumia

Kutokana na uhaba wake timu ya wataalamu wa mimea wameweza kuuchuja na kufyonza vizuri na kuweka katika mfumo wa vidonge, hivyo kuwa rahisi kwa mtu kuupata.

Mtu atumiapo vidonge hivi huweza kutatua matatizo mengi ya kiafya, na kuongeza kinga ya mwili hasa kwa wenye kisukari, wanaougua maradhi ya ukimwi na matatizo ya Figo na ini
View attachment 2514425
images%20-%202023-02-12T101153.214.jpg
 
Maajabu ni nini?

Unajuaje hili ni ajabu, na hii ni baiolojia ya kawaida tu?
 
Unapotumia neno "maajabu" una maana gani?

Ili kitu ukione cha ajabu inabidi kiwe na sifa gani?
Kitu tunaposema ajabu ni kitu flani ambacho kinashitusha watu ndomana hapo wengine wameanza kusema nisumu kwasababu hawajui kwaiyo inaonekana kwao mi ajabu au maajabu " kitu flani watu wasichokijua au kisichoonekana kuwa chakawaida"
 
Kitu tunaposema ajabu ni kitu flani ambacho kinashitusha watu ndomana hapo wengine wameanza kusema nisumu kwasababu hawajui kwaiyo inaonekana kwao mi ajabu au maajabu " kitu flani watu wasichokijua au kisichoonekana kuwa chakawaida"
Kwa hivyo mimi nikikukuta unaangalia kaskazini, nikaja kutoka kusini, kwa namna ambayo hujaniona ninavyokuja, ukaniona ghafla na kustuka, kwa sababu umetoka kuangalia sinema ya kutisha, hilo ni ajabu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom