faida za ukosefu wa ajira

faida za ukosefu wa ajira

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,993
Kila jambo lina faida na hasara zake.

1. Kwanza vijana wengi wataanza kupata mawazo ya kujiajiri. Baada ya kazi kufurika vijana wengi wataanza kutafuta njia mbadala ya kujipatia kipato na kwa mtindo huo ubunifu na uzalishaji nchini utaongezeka sana (ukizingatia nchi yetu ina opportunity za kutosha.)

2. Huduma bora kwa bei chee, sasa hata vijiji vilivyokuwa vinakosa wataalamu vitapata. Kutakuwa na watendaji kata wenye degree, madaktari wenye MD watapatikana kwenye vituo vya afya na zahanati.

Walimu wenye degree watafundisha primary na maduka ya watu binafsi yatakuwa na wahasibu wa degree. yote hayo yataongeza ufanisi wa kazi nchini na bidhaa/huduma zetu zitakuwa na ubora sana.

Anaezijua zingine aongezee.
 
3. Utapeli uliokwenda shule, wizi wa kimtandao unaotumia mbinu za hali ya juu utaongezeka
4. Polisi wenye degree watakuwa wanalinda mabenki, kuongoza misafara ya magari barabarani
5. House girl na shamba boy watakuwa na degree. Mshahara usiniulize
 
Sasa hizo ni faida za kukosa ajira au ni faida za elimu
ni za kukosa ajira maana wakiweza kuajiriwa hatutawaona huko vijijini na pia mpaka watu wakose elimu ndio wanaanza kufikiria kujiajiri.
 
3. Utapeli uliokwenda shule, wizi wa kimtandao unaotumia mbinu za hali ya juu utaongezeka
4. Polisi wenye degree watakuwa wanalinda mabenki, kuongoza misafara ya magari barabarani
5. House girl na shamba boy watakuwa na degree. Mshahara usiniulize
chukulia wanasheria waanze kuingia upolisi (baada ya kukosa kazi za sheria).mambo ya kupigapiga watuhumiwa yatapungua sana.
 
Umenikumbusha UB 40 ya UK ilivyoanza.
mkuu tunaweza kabisa kugeuza ukosefu wa ajira kuwa fursa ya kusonga mbele. signature yangu inasema coal under pressure becomes diamond. kukosa ajira ni pressure ambayo inaweza kutufanya to do our best.
 
6.kutawala nchi itakuwa vigumu sana kwa viongozi wakaokuwa madarakani coz nchi imejaa wasomi na challenge ztakuwa nyingi,ebu jaribu kucheki saiz bungeni unaproof enyewe! Hiyo pia ni faida!
 
6.kutawala nchi itakuwa vigumu sana kwa viongozi wakaokuwa madarakani coz nchi imejaa wasomi na challenge ztakuwa nyingi,ebu jaribu kucheki saiz bungeni unaproof enyewe! Hiyo pia ni faida!
kama watakuwa wanaleta challenge zenye mashiko hiyo nifaida kwa nchi. we unapenda nchi ya watu waliokaa na kuridhika?, hakutakuwa na ujinga ujinga. ngoja nikwambie kitu, zamani mtu akiwa msomi na baada ya kupata kazi anajitenga na wananchi wa kawaida na kwenda daraja jingine la watawala. lakini sasa wasomi watakuwa na wananchi wa kawaida na watakuwa nao pamoja katika kudai haki zao na kuorganize mipango mbalimbali kisomi. huoni hilo ni faida. fikiria
 
7.nafungua kampuni yangu
8.najifunza mechanics
9.nna mpango wa kujifunza kichina...
10.BOSI WANGU ni mimi!
 
Unajua swala la kujiajiri zuri sana nami naunga mkono, nilishajaribu kujiajiri nikafunga kuku wa mayai 800 tatizo likatokea ugonjwa wa typhoid yaani kila nikiwapa dawa wapi, kumbe madawa feki. Mambo kama haya yanaua ujasiliamali, yapo mengi napata kwa wafanyabiashara nitayaweka wazi ili iwe challenges kwetu.
 
yaa ila kweli,coz tangu 2010 cjapata ajira na ss nafikiria kupiga bness ya nafaka,basi najua nina miezi michache ya kutoka nikiwa serious
 
3. Utapeli uliokwenda shule, wizi wa kimtandao unaotumia mbinu za hali ya juu utaongezeka
4. Polisi wenye degree watakuwa wanalinda mabenki, kuongoza misafara ya magari barabarani
5. House girl na shamba boy watakuwa na degree. Mshahara usiniulize

Kuna baadhi ya watu shule huwa haiwasaidii kabisa. Reading between the lines, unaona kwamba ni dhalili mtu mwenye degree kuwa polisi na kuongoza magari barabarani. You are talking as if ukiwa na degree unakuwa next to God.

Watanzania tuache UPUMBAVU. Degree ni kiwango cha elimu na sio UTUKUFU. Akili za kipumbavu za namna hii ndio zinainyima kazi thamani katika nchi yetu. Kama huyu anaamini kuwa polisi ni lazima uishie kidato cha 4 basi hatutakuwa na polisi wenye uelewa mkubwa na haya tunayoyaona tutaendelea kuyaona kwa kuwa tunaamini Mwalimu ni yule aliyekosa nafasi kwenye kada nyingine kwa kuwa maksi zake hazikutosha.

Mtu mjinga namna yako hata akiwa na PhD, hawi productive kwa kuwa anaamini analipwa mshahara kwa PhD yake na sio kwa uzalishaji wake. Amsha kichwa bwanamdogo
 
Kuna baadhi ya watu shule huwa haiwasaidii kabisa. Reading between the lines, unaona kwamba ni dhalili mtu mwenye degree kuwa polisi na kuongoza magari barabarani. You are talking as if ukiwa na degree unakuwa next to God.

Watanzania tuache UPUMBAVU. Degree ni kiwango cha elimu na sio UTUKUFU. Akili za kipumbavu za namna hii ndio zinainyima kazi thamani katika nchi yetu. Kama huyu anaamini kuwa polisi ni lazima uishie kidato cha 4 basi hatutakuwa na polisi wenye uelewa mkubwa na haya tunayoyaona tutaendelea kuyaona kwa kuwa tunaamini Mwalimu ni yule aliyekosa nafasi kwenye kada nyingine kwa kuwa maksi zake hazikutosha.

Mtu mjinga namna yako hata akiwa na PhD, hawi productive kwa kuwa anaamini analipwa mshahara kwa PhD yake na sio kwa uzalishaji wake. Amsha kichwa bwanamdogo

Punguza jazba mkuu! Kama umenihukumu mimi mjinga kheri yako uliye mwerevu! Back to the point, sijadharau polisi kuwa na degree wala sijasema polisi aishie form 4, Usitake kunilisha maneno. Kama una CHUKI na wenye degree/PhD sina msaada kwako. Kwani watz wote wakiwa na degree na vinyozi pia si watakuwa nazo? Sijaona tatizo hapa
 
Back
Top Bottom