Mbingo JF-Expert Member Mar 20, 2014 411 230 Sep 19, 2018 #1 Wadau wana jamvi naombeni taarifa sahihi eeti mbogaza majani zinasaidia nini ukimpatia kuku
Perfectz JF-Expert Member May 17, 2017 8,844 27,551 Sep 19, 2018 #3 Mpe kwanza huyo kuku ale afu uone kitatokea nini
P Pohamba JF-Expert Member Jun 2, 2015 27,639 61,068 Sep 19, 2018 #4 Kwanza Ni kinga dhidi ya Magonjwa
Trouton JF-Expert Member Jul 3, 2018 1,194 1,362 Sep 19, 2018 #5 inawapatia virutubisho vitakavyowawezesha kukua vizuri na kinga kwa baadhi ya magonjwa, maana zile mboga zina vitamins na madini mbali mbali muhimu.
inawapatia virutubisho vitakavyowawezesha kukua vizuri na kinga kwa baadhi ya magonjwa, maana zile mboga zina vitamins na madini mbali mbali muhimu.