Faida za M pawa

Faida za M pawa

Phinenicke

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
15
Reaction score
3
Habari wana Jf.
naomba kujua faida zinazopatika na kujiunga na M pawa? pamoja na a/c za mitandao mingine pia kama tigo na Voda,mnaojua naomba mtuelimishe kwenye hili.
 
Nimekutana na watu wanauza kifaa cha umeme waitwa M pawa wanadai wanakufungia kifaa chao kikiwa na taa nne kwa gharama ya tsh 15000 baada ya hapo inakuwa unanunua umeme wa kila mwezi kwa tsh 14900 kwa kupitia m pesa.

Swali langu ni kuwa unawezekanaje kununua umeme kwa wireless ? kifaa chao kina ka solar panel kadogo kwa ajili kukifanya kikae na umeme wa kujiendesha lakini umeme wa taa mpaka uulipie kama LUKU.

Tuelimisheni kwa mnaoijua hii kitu plz
 
Habari wana Jf.
naomba kujua faida zinazopatika na kujiunga na M pawa? pamoja na a/c za mitandao mingine pia kama tigo na Voda,mnaojua naomba mtuelimishe kwenye hili.
Inavisaidia kuwapa akiba kwa urahisi iwapo una hela kwenye m Pesa na unakusudia kuweka akiba badala ya kwenda benk au kwa wakala
Pili hua wanaweka faida kidogo kwenye hela unayoweka kwenye m pawa
Pia wanatoa mkopo kulingana pesa uliyo nayo kwenye akiba yako ya m pawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom