Wadau embu nipeni faida za kuzaa mara kwa mara maana mwenzi wangu ananiambia nimpe mimba angali tuna mtoto na naona garama huwa zinakuwa kubwa kidogo toka ujauzito mpaka mtoto kufika 2yrs. Je mnanishaurije wadau. nimpe kitu au nimwambie afate family planing?. mtoto wetu wa kwanza ana 3yrs.Je kuna faida gani ya kuwa na watoto wengi?