1, "Ubi bene ibi patria"- Mahali unapojisikia vizuri basi hapo ndiyo nyumbani kwako.
2, "Ubi panis ibi patria"- Mahali unapoweza kupata mkate basi hapo ndiyo nyumbani kwako.
na wanaume wanaojielewa maarufu kama ben ten wapo dar, wanaume kama kaogee wengi wao wapo dar, wasagaji wengi wao wapo dar kweli hakuna sehemu kama dar... ngoja sisi tuishie huku mikoanii