Mkuu RussianRoulette jaribu kuyaonja maziwa ya Ngamia uutayapenda na kutoyaacha mazuri sana.I love nyama ya ngamia... but maziwa, sijui kwa kweli.
Nasikia hapo Dar yanapatikana Mtaa wa Livingstone na Kariakoo sijuwi huko kwenu arusha yapo mkuu Young_Master? mkuu nnimekuona picha yako kwenye Facebook na jina lako je ni wewe kweli au mtu mwengine?Is this a myth or a fact? If its a fact unadhani ni watu wangapi ambao wanaweza kuyapata maziwa ya ngamia?
Ngudu mzizi mkavu huwa nazifurahia sana comment zako na hili la leo nimeona niweke na mimi mchango wangu,hapa arusha huwa tunayapata kirahisi hayo maziwa maana yanatoka TURKANA kama ukiyapata kabla hayajawekwa "nyingi" ukawa unayaweka kwenye friji asubuhi una jog,ukimaliza unapata kikombe cha maji moto then maziwa hayo na kijiko cha asali ya nyuki wadogo.....aaaaah nadhami wale wagonjwa wako wa yale mambo yetu yale ya ndoa watakuwa wamepungua ,wengi hawajajua
Mkuu RussianRoulette jaribu kuyaonja maziwa ya Ngamia uutayapenda na kutoyaacha mazuri sana.
Nasikia hapo Dar yanapatikana Mtaa wa Livingstone na Kariakoo sijuwi huko kwenu arusha yapo mkuu Young_Master? mkuu nnimekuona picha yako kwenye Facebook na jina lako je ni wewe kweli au mtu mwengine?
Ambao umesababishwa na kutokupatikana kwa Ngamia, ambao wanapatikana zaidi jangwani.upatikanaji wake ndio tatizo.
Mkuu @Mahmood unatoa Dawa kabisa utayafanya hayo Maziwa ya mbuzi na Ngamia yapande Bei na hizo Tende? Wacha nakukubali ni Dawa tosha za nguvu ya kiume hayo Maziwa ya mbuzi na ngamia ukichanganya na Tende.Maziwa ya ngamia na Asali, ni viagra ya kiarabu komesha.
Pia kuna Viagra nyingine ya kiarabu, tende na maziwa ya ngamia au maziwa ya mbuzi.
Hao watu watakao kukwambia kuwa unywe Maziwa ya nguruwe,Au Mbwa au paka watakuwa wana matatizo ya akili. Wewe unachotakiwa utumie akili yako tu ukiweza tumia hayo Maziwa ya Ngamia hukuweza acha usitumie hayo maziwaya Ngamia hakuna mtu wa kukulazimisha kutumia mkuu Samahani kama nitakukwaza.
Make It or Break It
@Petiro Mkuu jaribu kisha utupe feedback .Wakuu nilifika hapa somalia nikakuta maziwa na nyama ya ngamia yanapatikana kwa wingi na ni sehemu ya kawaida ya lishe yao ila mmnilivigomea kabisa. Ila kwa sasa nitajaribu kutest nyama km itakua afadhali basi nitatest na maziwa then nitawaapdate
Hapa A town hawa wanyama wanaonekana sana pale snake park Wilayani Monduli post na na njia panda ya kwenda Monduli mjini na hata TMA & SOFA na hakika utapata bila ya kukosa!
Asante sana!! Nimewajuza tu kwn huwa siyapendi!
Pale mkunguni na sikukuu kuna hoteli iitwayo AL URUBA inauza maziwa ya ngamiaupatikanaji wake ndio tatizo.
Usicho kijuwa dada yangu ni usiku wa giza. Pole sana unakosa faida mwilini mwakohata unipe bure,siyataki
Arusha yanapatikana Mtaa wa Bondeni mkabala na Mapinduzi restaurant. Bei ni 1500 kwa nusu lita yanatolewa Moshi.Kwa mambo ya kiume ni zaidi ya supu ya pweza.Mimi ni shahidi mzuri.Ukichanganya na tende zilizosagwa heshima itarudi. I guarantee.
Pale mkunguni na sikukuu kuna hoteli iitwayo AL URUBA inauza maziwa ya ngamia