faida ya institution of engineering ni nini?

faida ya institution of engineering ni nini?

mezakuu

Senior Member
Joined
Apr 19, 2016
Posts
156
Reaction score
131
Nimeuliza hivi kwa sababu chuoni kuna fomu ambazo hao viongozi wa institute of engineering wanagawa na unalipia tsh 5000 kwa ajili ya cheti bila mafunzo wala bila kufanya kitu chochote. Nilipo jalibu kuwauuliza walisema eti inasaidia kuwa registered na bodi ya engineering kwa urahisi je kuna ukweli wowote na naomba kuuliza je kuna faida yoyote kwa mwanafunzi wa engineering kuwa mwanachama au na cheti cha institute of engineering Tanzania?
 
mods naomba mnibadilishie kichwa kisomeke, faida ya institute of engineering tanzania ni nini? Moderator
 
Sijaona faida zake na pia kusajiliwa na Bodi (ERB) sio lazima uwe umesajiliwa na IET.
 
IET ni siasa tu achana nayo!! muhimu ni ERB
 
Ukiwa Mwanafunzi ni Muhimu kuwa katika clubs na Forums za Career yako.

Kama ulilipia uanachama Clubs za sekondari kama Fema, Takukuru, Ukwata sijui na vitu ganiiii. Kwani vimekusaidia nn
 
Mkuu pale ERB wanahitaji cheti cha form 4,6/dip pamoja na matokeo ya degree ya kwanza (Academic transcripts) au cheti kama unacho na sh ef 5,baada ya miezi miwil unapewa namba ya usajir. ...Utalipia ef 30 kama ada ya mwaka as a graduate engineer...hio IET sio lazima
 
Back
Top Bottom