Ukiona hujui jambo ujue halikuhusu.Wanandugu nimekuwa na maswali mengi bila majibu kuhusu hiki kinaitwa fiesta,
Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo,
Sasa mimi Labda ushamba wangu wa kuishi muleba miaka yote,
Wajuzi nisaidieni kujua faida ya jambo hili LA fiesta Kama nchi au jamii tunafaidika nalo nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda kuna faida ndio nilitaka kujuaUkiona hujui jambo ujue halikuhusu.
Duh duhNi msimu wa kuuza Bange na Kondomu....
Achilia mbali ongezeko la Ubakaji na Unyang'anyi...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hamna faida yoyote wewe endelea na shughuli zako huu ni upepo tu utapita
Kwani package za UKIMWI za kiwanda cha fiesta zinapatikana wapi?Uhuni tuu ni kiwanda cha ukimwi
Wadhamini wa Tamasha hili wamelenga utangaza biashara yao.Wanandugu nimekuwa na maswali mengi bila majibu kuhusu hiki kinaitwa fiesta,
Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo,
Sasa mimi Labda ushamba wangu wa kuishi muleba miaka yote,
Wajuzi nisaidieni kujua faida ya jambo hili LA fiesta Kama nchi au jamii tunafaidika nalo nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadhamini wa Tamasha hili wamelenga utangaza biashara yao.
Pia hutoa burudani kwa wateja na Mashabiki wa sanaa nchini hususan muziki.✔✔
Kama unavojua kampuni iliyodhamini ni mawasiliaono kwahyo kuhamasisha biashara haichagui muda iwe usiku mchana au Asubuhi biashara hutangazwa.Biashara gani inaonekana usiku