afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,210
Mkuu huyu anajitahidi sana katika kutufahamisha mambo mbali mbali ya kula vyakula bora ili kuweza kukinga afya zetu.
Napenda zaidi madawa yake fulani ya asili..
hata siku moja sijawahi ona akimwambia mtu kanunue Asprin au Klorokwin..
yeye atachanganya vitunguu saumu sijui malimao, asali na nanilii lohhhh dawa tayari..
Nampa heshma yake kwa kweli..