FAIDA 7: Mwanamke Kua Mchepuko ( Japo Mara Moja Tu)

FAIDA 7: Mwanamke Kua Mchepuko ( Japo Mara Moja Tu)

Alexander The Great

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2018
Posts
4,514
Reaction score
23,696
Kila mwanamke ashawahi kua mchepuko/mchepukwa kwenye mahusiano katika hatua fulani, kuna baadhi wabishi watakataa hili. Kua mchepuko muda mwingine hujihisi mpweke, ila una faida zake, kama vile kua mtaalamu wa mahusiano pindi utakapofikia tamati, itakufungua macho juu ya tabia na uwezo wako kimahusiano.

FAIDA ZAKE:-

1) Huna hofu kwa jamaa kuchepuka chepuka;
Kwa sababu we mwenyewe mchepuko.

2) Huna kibarua cha kuwasiliana au kuonana na jamaa kila muda;
Hasa ukiwa hupendi kuchat au kuongea na simu mara kwa mara, au haumkubali jamaa kiviiile.

3) Hakuna usiri baina yenu;
Miongoni mwa vitu vinavyo sababisha kuvunjika kwa mahusiano ni usiri :- Watu wenye uhusiano wa mapenzi ya dhahiri hua vigogo wa kufichana mambo yao, kama vile marafiki wq jinsia chanya wanaowasiliana nao, kukutana nao sehem za starehe, wanao chepuka nao n.k. Ila ukiwa mchepuko haikupi shida, akijua asipojua potelea pote.

4) Bwana mchepuko anakukubali kinoma.
Mwanaume ili achepuke lazima avutiwe na jambo fulani kwa kimada ambacho mama mjengo hana, either umbo au uzuri au sauti n.k (Ujue umemzidi kete mama mjengo)

5) Una nguvu juu yake.
Una uwezo wa swala zima la kumkoroga maisha yake ya mahusiano pindi atakapo zingua, kwa lugha ya kisasa "unaweza ukamtumbua". Halafu ukampotezea wakati yupo kwenye kikaoongao cha sekeseke na first lady.

6) Utajitambua tabia, uwezo, ujanja na mtazamo katika mahusiano ya mbeleni.

7) Utaongeza ujuzi na ujanja chumbani.
Atakufundisha maufundi aliojifunza kule kwa mama mjengo, ukijumlisha na yako uliojifunza kwengine ( win win situation)
 
Nakata ujue kuwa na mchepuko si tabia njema wala si sifa nzuri ya kujisifia.
Mtakuwa mnavunja kiapo mlichokila mbele ya kanisa.. ndio maana wanandoa wanaochepuka ndoa zao haziend vizuri kabisa.. ni mikos na balaa
 
Nakata ujue kuwa na mchepuko si tabia njema wala si sifa nzuri ya kujisifia.
Mtakuwa mnavunja kiapo mlichokila mbele ya kanisa.. ndio maana wanandoa wanaochepuka ndoa zao haziend vizuri kabisa.. ni mikos na balaa
Tutafikia huko, kwenye thread za hasara ya michepuko, kila chenye faida hakikosi hasara
 
Sio kila mwanamke amewahi kuwa mchepuko kwenye mahusiano ,huo utafiti umeufanyia wapi? Rudi kafanye utafiti omba hata Twaweza wakusaidie halafu njo tena mkuu
Ndio maana nikaandika ameshawahi kua MCHEPUKO/MCHEPUKWA, either amechepuka yeye au mtu wake alimchepukia na mwanamke mwingine
 
Nakata ujue kuwa na mchepuko si tabia njema wala si sifa nzuri ya kujisifia.
Mtakuwa mnavunja kiapo mlichokila mbele ya kanisa.. ndio maana wanandoa wanaochepuka ndoa zao haziend vizuri kabisa.. ni mikos na balaa
Niaje Mkuu
 
Back
Top Bottom