Fahamu utajiri kwenye biashara ya fedha za kigeni (FOREX TRADING)

Hii biashara inahitaji nidhamu ya hali ya juu. Lakini mleta Uzi ungetolea mfano mtu mwenye capital mf; 500,000/= tsh. Akaingia duka la fedha na kununua dola kwa bei mfano 2019. Akaenda na dola zake nyumbani, kesho akapata taarifa dola zinauzwa kwa 2030 akaenda kuuza na kupata faida ya Tsh. 11 per dolar. Je, nimekuelewa? Pili, kwa nini nikae na hela muda mrefu kwa nini nisinunue dola asubuhi nikauza jioni kama nitapata faida? Thirdly, hii biashara unalipaje kodi???
Kodi analipa mwenye beuro de change
 
Shule nzuri sana mkuu. Naomba kama inawezekana utoe ufafanuzi zaidi jinsi ambavyo deni la Taifa linavyohusiana na mfumuko wa bei pamoja na thamani ya shilingi. Kwa nchi kama Tanzania ambapo nahisi deni la nje ni kubwa kuliko deni la ndani sioni jinsi ambavyo ulipaji wa deni hilo unaweza kupelekea mfumuko wa bei kwa maelezo uliyotoa maana Tanzania haina uwezo wa kuchapisha fedha ya kigeni. Ninachokiona ni kwamba nchi kama ine deni kubwa la nje na ikipambana kulilipa, basi thamani ya shilingi inaporomoka kwa kuwa kutakuwa na uhaba wa fedha za kigeni unaotokana na ukweli kwamba fedha nyingi zinaishia kulipa madeni. Otherwise mkuu unatoa elimu nzuri sana.
 
Kwa upande wa tz hapa nyumbani kuna tetes ming kuwa dolls zinashuka saman kutokna na mwaka wa hyo dolls ivyotengenezwa unasemaje kwenye hilo
 
Mi nataka nizinunue tu kila mwezi nizihifadhi mahesabu nitakapo stafu kazi miaka 30 ijayo nafikiri nitakuwa bilionea kila mwezi nanunua dola 100 naziweka baada ya miaka mitano nitaanxa dola 300 kwa mwezi naweza mi nazikusanya uchumj Wa Tanzania wala hauwezi kukua kila siku unaporomoka na ukikua hauwi stable kwa miaka hii 10 ya Jpm utastabilize Ila akishatoka tu utaporomoka vibaya sana hasa kipindi kile cha uchaguzi 2025 so labdaaa dolari moja itakuwa buku 5 nani anajua kama nimesave dolari 20000 kwa miaka kumi ukizidisha Mara tano si nitakuwa KIBOPA Mimi ***** hahahahahah

Tutaelewana tu enzi hizo wacha tuzinunue madafu yanashuka thamani tu.

Leo buku 10 ukilichenji tu limepukutika shabashhh

 
Mi nataka nizinunue tu kila mwezi nizihifadhi mahesabu nitakapo stafu kazi miaka 30 ijayo nafikiri nitakuwa bilionea kila mwezi nanunua dola 100 naziweka baada ya miaka mitano nitaanxa dola 300 kwa mwezi naweza mi nazikusanya uchumj Wa Tanzania wala hauwezi kukua kila siku unaporomoka na ukikua hauwi stable kwa miaka hii 10 ya Jpm utastabilize Ila akishatoka tu utaporomoka vibaya sana hasa kipindi kile cha uchaguzi 2025 so labdaaa dolari moja itakuwa buku 5 nani anajua kama nimesave dolari 20000 kwa miaka kumi ukizidisha Mara tano si nitakuwa KIBOPA Mimi ***** hahahahahah

Tutaelewana tu enzi hizo wacha tuzinunue madafu yanashuka thamani tu.

Leo buku 10 ukilichenji tu limepukutika shabashhh

Probability of being dead is also high! ha!ha!
 
Back
Top Bottom