Fahamu undani wa mnyama simba

hapo sasa nimeamini unatambua ulicho kiandika baada ya kumjibu huyu mtu.hakika uko vzr.
juu ya elimu yako.hongera sana.
 
Hata hivo uzi uliotuletea ni mzuri sana wacha tukusaidie.
 
Maisha ya simba kwa wastani ni miaka mingapi?
 
Mkuu huna hadithi inasema simba dume akizeeka simba jike na wanaye humwua , sababu hawataki utegemezi. Je kuna ukweli wowote?
Si kweli!! Kwa kawaida simba dume anayemiliki familia akishazeeka hunyang'anywa ile family na madume pinzani ambao hawana family na yeye atafukuzwa kwenye familia na kwenda kuishi maisha ya kivyake (solitary )
 
Nimeipenda hiyo honeymoon yao tu....halafu kumbe hao madume wana wivu namna hiyo...
 
Daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…