Bila kumsahau Daby yaani mapenz tyu ndo kazi yenu humu jf,you need counselling
Bila kumsahau Daby yaani mapenz tyu ndo kazi yenu humu jf,you need counselling
Itakua TV gani?Ila wanawake wengi wa enzi hizi n vichaa kwa kwel, mweh! Yaani ata ukianza nae mahusiano, unajitabiria sifiki nae mbali. Na cjui kama wana keep time kufikiria maisha yao, maana nahic wanawake n wazururaji tu. Nina kipindi cha TV soon nitaki launch ambacho profile yake itakuwa about relationship especially ya mwanaume na mwanamke, nime experience mambo haya n wakat wa kusonga mbele, watu wamechoka na ubabaishaj usiokuwa na tija na siku zinakwenda tuuuuu
hahahah kweli mkuuTANZANIA NI MARUFUKU KUSEMA UKWELI KWA SABABU UNAUMA
kiongoziSomo zuri ila kuna baadhi watakuja kupinga kwa sababu ni ukweli live!!
Naam mkuukiongozi