mkuu hizo ni ndoto za abunuwasi,the more she get......the more she need,ukimpa mabao yenye quality atataka na quanitity na type nyingine pia,miaka ya leo hatuoi ila tunaishi na watu,sasa kama kugegeda ndo ishu kuna maisha mengine pia mbali na mgegedo,imagine leo unaumwa mwaka mzima hata kunyenyua mguu huwezi,ataishi na ww?Unaposema wanawake hawaridhiki unamaanisha nn?? kama unamaanisha kugegeda basi wewe ndo utakuwa huwafikishi wanakotaka kufika, lkn ukimpandisha kale kamlima ukamfikisha kileleni mbona atakuita baba, yaani wanaridhika kinoma mpaka utamwonea huruma, sasa sijui unataka mpaka ashindwe kuamka kitandani asubuhi ndo utajua karidhika au mpaka azimie, looo.
Upo sahihi kabisa, KUMRIDHISHA NI MTAZAMO WAKO, ni kama ambavyo Kanisa Catholic lina mtazamo kwamba ma Sister wao na Mapadri hawana mahusiano, NI MTAZAMO TU! Ila anachofikiria huyo mwanamke kukuhusu wewe ni GIZA NENE ambalo hakuna mtu anayelijua!
Mwanadamu yeyote yule aridhiki wala hatosheki si mwanamke wala mwanaume.Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida,
wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu atapekua na chini zaidi.
Kwa hiyo mwanamme mwenzangu penda 45 tu,zingine jipende mwenyewe au wapende wanao,kama hayajakukuta siku yakikukuta ndio utajua.
Usione baadhi ya watu wanaishi single man ukawaona wajinga,waulize wakwambie.
Na nyie wanawake mnahangaika nini? Ona sasa mnafanywa incubator,mnazalishwa mtu anasepa,wewe unalea mtoto akifika miaka saba baba mtoto anabeba mwanae,utazalishwa na wangapi?
Mwache alete nyodo.Saizi unaongea kwa dharau lkn ipo siku utakumbuka maneno ya mshikaji
HahahahaaMtoa mada ananisema mimi. Sawa mkuu umesomeka.
"KUMRIDHISHA NI MTAZAMO WAKO, ni kama ambavyo Kanisa Catholic lina mtazamo kwamba ma Sister wao na Mapadri hawana mahusiano, NI MTAZAMO TU!"..... Naomba ufafanuzi hapa Mkuu
Kuacha hawawezi wamebaki kulalamika kama wamelazimishwaHawa wanawake mnaokuja kuwalalamikia hapa kila siku si muwaache? Hivi ni lazima kuwa na mwanamke? Haiwezekani kuishi bila wao? Upuuzi tu.