Fahamu,mwanamke haridhiki wala hatosheki

Ila kweli hawaridhiki Hawa watu
That's nature kamwambie Mungu aliyewaumba Hivyo.!! Mungu aliyajua Hayo that's why akasema muishi nao kwa akili sasa kama umeshindwa uclete makelele yako hapo..!! Deal with your failures alone usitafte support
 
Unaposema wanawake hawaridhiki unamaanisha nn?? kama unamaanisha kugegeda basi wewe ndo utakuwa huwafikishi wanakotaka kufika, lkn ukimpandisha kale kamlima ukamfikisha kileleni mbona atakuita baba, yaani wanaridhika kinoma mpaka utamwonea huruma, sasa sijui unataka mpaka ashindwe kuamka kitandani asubuhi ndo utajua karidhika au mpaka azimie, looo.
Haahahaaaha..!! Kwl kabsa
 
Muanzisha mada umenena ukweli mtupu....
Akili za hawa viumbe hata wao wenyewe sometimes hawazielewi....

Biblia iliposema tuishi nao kwa akili, iliona mbali sana
 
Hao ndio wanawake!!!mwanaume ukiamua kuoa jaribu kuishi kwa akili sana na mke wako maana mke ni kiumbe dhaifu sana akili yake haiko tofauti na akili ya mtoto mdogo.
 
Ukikosea kuchagua utalia na moyo. Eti hawaridhiki !km hamjaweza kuvumiliana mapungufu yenu mkajengana, au hamujajenga mahusiano yenu kaz kwako, labda km ulikaa nao 10 wote wakawa sawa bas research yako n kweli. Otherwise pole kwa mawazo yako
 
Shunieeeeeeeeee! Upo mrembo! Mimi hayawezi kunikuta,kuna watu yamewakuta,tena ni maafisa waandamizi wa serikali,wanaovuta m 5 kwa mwezi na kila kitu ndani,hapo mimi ndo ngachoka kabisa na nyie kina dada.
 
This is totally True.

0b6c21557eaf0b581b3c36a2c3bede10.jpg
 
Saizi unaongea kwa dharau lkn ipo siku utakumbuka maneno ya mshikaji
Bwana acha tu, kuna binti mmoja wa kishua nilikua nae...aisee sikia tu kwa wenzio. Ikafika a point nikamwambia mama nenda tu na maisha yako and that she z never gana be a blessing in my life na sijui kwa wengine huko mbeleni. GO !!!!

Its almost 2 years now and I have never been more happier than before. Trust me kuna wanawake wengi warembo na wenye standards ambao wanaweza kua nawe in ups and downs....just keep it in God's hands. Do Not Rush.


0b6c21557eaf0b581b3c36a2c3bede10.jpg
 
Pole jembe acha sisi tuendelee kuwaridhisha

Upo sahihi kabisa, KUMRIDHISHA NI MTAZAMO WAKO, ni kama ambavyo Kanisa Catholic lina mtazamo kwamba ma Sister wao na Mapadri hawana mahusiano, NI MTAZAMO TU! Ila anachofikiria huyo mwanamke kukuhusu wewe ni GIZA NENE ambalo hakuna mtu anayelijua!
 
Bwana acha tu, kuna binti mmoja wa kishua nilikua nae...aisee sikia tu kwa wenzio. Ikafika a point nikamwambia mama nenda tu na maisha yako and that she z never gana be a blessing in my life na sijui kwa wengine huko mbeleni. GO !!!!

Its almost 2 years now and I have never been more happier than before. Trust me kuna wanawake wengi warembo na wenye standards ambao wanaweza kua nawe in ups and downs....just keep it in God's hands. Do Not Rush.


0b6c21557eaf0b581b3c36a2c3bede10.jpg
Nawakubali watu kama wewe, mapenzi haya takiwi kutunyima raha kiasi cha kuatamani kufa
 
Back
Top Bottom