Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,274
London School of Hygiene wana Scholarships kwa watu wa Sub Sahara Africa kwa Masters in Public Health, Control in Infectious Diseases etc
Sifa:
• Uwe na first class or 2:1 in undergraduate.
• Kama ulisoma nje ya Uingereza uwe na English certificate mitihani unaufanya British Council
Masters ni one year full time na baada ya tuition fee unapewa £17,000 zinakuwa in division of 12 months.
Kizuri kula na mwenzio.
Sifa:
• Uwe na first class or 2:1 in undergraduate.
• Kama ulisoma nje ya Uingereza uwe na English certificate mitihani unaufanya British Council
Masters ni one year full time na baada ya tuition fee unapewa £17,000 zinakuwa in division of 12 months.
Kizuri kula na mwenzio.