ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 915
- 1,279
Mkuu hii biashara nilishawahi ifanya kidogo.....ni hivi kwa kila muamala kuna % unapata kama commision yako na hiyo ndio faida yako....mtu akitoa milioni moja kwa wakati mmoja kile kiasi anachokatwa mteja na ww unapata % yako....so wapo wanaotoa buku tano wanaoweka pia kuna % unapata so kwa mchanganyiko wa watej na wanavyokuwa wengi ndio unamake faida nzuri mkuu....hivyo tuKwa maana hiyo viwango havipo katika interval kwa kila hela utakayomuwekea mteja si ndio...?
Yaani natamani niendelee kukuuliza ila nahisi kama nitakuwa nakukwaza mkuu kutokana na ulivyonijibu hapo awali.