Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,911
- 4,954
- Thread starter
- #81
Mkuu watu hawaamini lkn mimi nimeshuhudiatashwishwi, Mkuu hyo dawa ipo Nina jamaa yangu Ni muha alipigwa nondo ikapinda mbele yangu katika ugomvi ikabid washikaj wamuombe msamaha tu yaishe Mana aliwakusanya balaaaaa
kilicho akilini kitumie