Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,888
- 4,902
- Thread starter
- #41
Mkuu labda. Lkn macho yangu ya nyama yalishuhudia panga linadundaMazingaombwe hayo.
Mkuu labda. Lkn macho yangu ya nyama yalishuhudia panga linadundaMazingaombwe hayo.
Sifanyi biashara mkuu. Hata namba ya mganga sinaWanakuja PM,ungeweka na bei
Sikumuuliza hiloMganga hakusema ana dawa ya korona idunde tu iishie kwenye shati isiingie mwilini?
Kidono ni dawa ya siku nying sana hasa kwa watu wa mwambao wa ziwa Tanganyika.Kama ni hivo uyo mganga angekua na pesa sana. Icho ni kiinimacho
Hii nishaisikia sana, ni maarufu kwa WAHA wote wanaijua hii, moja ya masharti yake ni kutotumia matembele.
Mbona hiyo dawa ipo siku nyingi.Inaitwa kinguti.
Kimbembe ni ukiumwa, maana sindano haipenyi!
Kidono ni dawa ya siku nying san hasa kw watu wa mwambao wa ziwa Tanganyika
Kabla ya kubisha, jaribu kutaka kujua
Nje ya wembe na sindano, hakuna kifaa cheny ncha kali kinaweza kuingia mwilini mwa mtu mweny kidono
Nenda Kigoma utajulishwa
Tena sirikali umuungishe kwa kumpa tenda ya kuwapiga bullet proof wanajeshi wote.Huyo mganga aanzishe kiwanda haraka sana ili serikali ikusanye mapato
Sent from my iPhone using JamiiForums