monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 943
DarUpo mkoa gan
DarUpo mkoa gan
Mkuu kuna mengi ambayo nahitaji kufahamu kuhusu hii biasharaUnataka kuuzia wap moja...mbili unataka kuuza kwa reja reja ama jumla yapo maeneo mengi kuanzia kigamboni ...uko kimbiji kuna Nazi nying bei ya jumla sh 300/...ukisogea mkuranga Nazi kibao hazina soko n wew na solo kubwa LA Nazi lipo singida..kahama..tabora..shinyanga..mwanza..musoma...Dodoma..kote Nazi n deal beh ni kuanzia sh 1000_1500... Karibu graduates ajira n maono yako
Bara huko hawazijui, so demand inaeza kusuasuaJee kupeleka nazi tabora,kahama?soko vp kwa mliopo huko?maana dar ilala kikopwa kwingi
Bado unaifanya hii biashara? Nikutafute?Bara huko hawazijui, so demand inaeza kusuasua
Msaada kwa wenye uzoefu na soko la nazi dar, nataka niingize mzigo nilete dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya kutoa Nazi Mafia ina faida but inategemea na Msimu pia ni Vizuri ukawa na mtaji Angalau kuanzia 1 million kuendelea....
Asante bei huko mafia kwa sasa ikoje na bei ya sokoni ikoje? ni msimu gani unafikiri ni mzuri kuanzaBiashara ya kutoa Nazi Mafia ina faida but inategemea na Msimu pia ni Vizuri ukawa na mtaji Angalau kuanzia 1 million kuendelea....
But ina changamoto Zake, zikiwemo Madalali na changamoto ya usafiri kutumia Majahazi.
Mimi nilifanya Zamani.... Sijui bei kwa Sasa ikoje....Asante bei huko mafia kwa sasa ikoje na bei ya sokoni ikoje? ni msimu gani unafikiri ni mzuri kuanza