Fahamu jinsi damu inavyofanyakazi.

Fahamu jinsi damu inavyofanyakazi.

Damu ni muhimu sana katika mwili na ni chombo kinachotumika kukabiliana na magonjwa.Katika damu yapaswa iwe katika ph level ya7.0, ambayo ni alkaline. Hivyo ili mwili ukabiliane na magonjwa yakupasa umeintain ph level ya damu isiwe below 7.0 ambayo itakua ni acidic.
Asanteni nakaribisha maswali.
Nyuzi kama hizi huwezi kukuta Watu waleee wakizichangamkia, good job.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Damu ni muhimu sana katika mwili na ni chombo kinachotumika kukabiliana na magonjwa.Katika damu yapaswa iwe katika ph level ya7.0, ambayo ni alkaline. Hivyo ili mwili ukabiliane na magonjwa yakupasa umeintain ph level ya damu isiwe below 7.0 ambayo itakua ni acidic.
Asanteni nakaribisha maswali.
Asante mkuu.. Tuongezee namna tutajuaje kama damu ipo in alcaline level au acidic.. Na ikiwezekana kuhusu wingi wa damu.. 😀👏
 
Damu ni muhimu sana katika mwili na ni chombo kinachotumika kukabiliana na magonjwa.Katika damu yapaswa iwe katika ph level ya7.0, ambayo ni alkaline. Hivyo ili mwili ukabiliane na magonjwa yakupasa umeintain ph level ya damu isiwe below 7.0 ambayo itakua ni acidic.
Asanteni nakaribisha maswali.
Nawezaje sasa kumentaini hiyo ph ya damu
 
Asante mkuu.. Tuongezee namna tutajuaje kama damu ipo in alcaline level au acidic.. Na ikiwezekana kuhusu wingi wa damu.. 😀👏
Reaction ya mwili kupatwa na magonjwa, pia
 
Group zipi za damu wakiwa nayo mume na mke hawawezi kuzaa mtoto akaishi?

Je kuna group ya damu mama akiwa nayo peke yake hawezi kuzaa mtoto akaishi?

Au je kuna aina ya dawa au sindano anapochoma mama hawezi kuzaa mtoto akaishi?
 
Mkuu kutokana na hii teknolojia tuliyofikia duniani ni kwanini mpaka sasa watasha hawajaweza kutengeneza damu ? Shida ni material za kuitengeneza copy right anayo Sir God ?au sababu nyingine ni zipi ?
Maana naamini mpaka ilipofikia sayansi inajua kila kiambata cha damu !
 
Damu ni muhimu sana katika mwili na ni chombo kinachotumika kukabiliana na magonjwa.Katika damu yapaswa iwe katika ph level ya7.0, ambayo ni alkaline. Hivyo ili mwili ukabiliane na magonjwa yakupasa umeintain ph level ya damu isiwe below 7.0 ambayo itakua ni acidic.
Asanteni nakaribisha maswali.
Ikiwa katika level ni Neutral sio Alkaline .
 
Mkuu kutokana na hii teknolojia tuliyofikia duniani ni kwanini mpaka sasa watasha hawajaweza kutengeneza damu ? Shida ni material za kuitengeneza copy right anayo Sir God ?au sababu nyingine ni zipi ?
Maana naamini mpaka ilipofikia sayansi inajua kila kiambata cha damu !
Good question
 
Group zipi za damu wakiwa nayo mume na mke hawawezi kuzaa mtoto akaishi?

Je kuna group ya damu mama akiwa nayo peke yake hawezi kuzaa mtoto akaishi?

Au je kuna aina ya dawa au sindano anapochoma mama hawezi kuzaa mtoto akaishi?
Kuna threads zinahusu mambo ya rhesus factor, pitia hapo usome mkuu utapata majibu yako..
 
Zitaje hizo threads humu tuzijue ili tuingie otherwise muache huyo mwanzilishi au mbobezi yeyote aje ajobu Group za damu na sintofahamu kuhusiana na uzazi
 
Back
Top Bottom