hassandilunga
Senior Member
- Mar 17, 2020
- 146
- 149
Kwa miaka 10 namsikiliza huyu jamaa wakuitwa Star Boy Wizkidayo
Moja kati ya Wasanii bora wa Afrika ameshafanya makubwa kwenye muziki wa Nigeria na Afrika kwa ujumla.
Tuzo, Mziki mzuri, shows za kimataifa, Kutengeneza pesa kupitia muziki nyingi kupitia muziki ni jambo dogo kwa Wizkid.
Aliwahi kulipwa bilion 1 na zaidi kuimba kule India katika harusi ya kifalme..
Kwa International amefanya kazi na wasanii wengi wakubwa kutokana na uwezo wake mkubwa.
Point ni kwamba Wizkid Ameimba nyimbo nyingi sana.
Lakini sina uhakika kama Wiz kid anaweza kuja kuimba nyimbo kali kuizidi hii OJUELEGBA.
Lyrics, Melody, Beats, sound vilikaa katika mpangilio mkali sana sana...
Moja kati ya nyimbo ilomtambulisha ulimwengu wa muziki kimataifa..
Ojuelegba ilishinda tuzo ya Song of Decade Star Boy pia akiwa Artist of Decade...
Ojuelegba🔥🔥🔥🙌
Moja kati ya Wasanii bora wa Afrika ameshafanya makubwa kwenye muziki wa Nigeria na Afrika kwa ujumla.
Tuzo, Mziki mzuri, shows za kimataifa, Kutengeneza pesa kupitia muziki nyingi kupitia muziki ni jambo dogo kwa Wizkid.
Aliwahi kulipwa bilion 1 na zaidi kuimba kule India katika harusi ya kifalme..
Kwa International amefanya kazi na wasanii wengi wakubwa kutokana na uwezo wake mkubwa.
Point ni kwamba Wizkid Ameimba nyimbo nyingi sana.
Lakini sina uhakika kama Wiz kid anaweza kuja kuimba nyimbo kali kuizidi hii OJUELEGBA.
Lyrics, Melody, Beats, sound vilikaa katika mpangilio mkali sana sana...
Moja kati ya nyimbo ilomtambulisha ulimwengu wa muziki kimataifa..
Ojuelegba ilishinda tuzo ya Song of Decade Star Boy pia akiwa Artist of Decade...
Ojuelegba🔥🔥🔥🙌