Fahamu haya kuhusu kifo

Fahamu haya kuhusu kifo

Hahaha sawa mkuu ko ww utaishi miaka 1000 baada ya kudanja, si ufe tu uachane na tabu za maisha ukawe roho uwe unakula mwanga na Giza, afu usisahau kula tunda kimasihara uko ndo kwenyewe msalimie jiwe.
 
Kufa ni kitendo cha mwili wa nyama kushindwa kuungana na mwili wa nyama
(i)Mkuu mwili na roho vinaunganaje? .
(ii) Kufa ni kitendo au hali?


Ili mwili wa nyama ushindwe kuungana na mwili wa kiroho lazima kuwe na hitilafi mbili.

Mwili uwe haupati hewa au damu iishe hewa utumika kutengeneza mfumo wa umeme kifuani ambapo mfumo huo utumika kusukuma moyo na moyo kuzungusha damu(source?). Hivyo hewa isipofika maanake mfumo wa umeme hautotenda na Kama hautotenda maanake moyo utashindwa kusukuma damu na mwili utashindwa kutenda.

Hivyo roho itashindwa kuishi umo maana roho uunganushwa na nguvu ya damu. Hivyo roho automatic tu itatoka na kukaa pembeni kwa masaa 24 ikipita hapo iyo roho HaitowezA kurudi tena.

Pia mwili ukiisha damu roho haitoweza kurudi tena.

Pia kwenye mfumo wa ubongo ukiharibika.

Kitu ambacho kipo kisayansi ni kwamba mwili unapopoteza vigezo vya kumiliki roho ndo binadamu anakufa na si kwamba kunamalaika anaetoa roho." hii hoja inahitaji ushahidi kuntu Mkuu......mmmmh mwili unamiliki roho kivipi? na katika mazingira yapo?

Pili mtu mwenye kuongozwa na nafsi ndiyo anakufa Ila mwenye kuongozwa na roho hafi Ila ataishi miaka elf moja na kunyakuliwa." source???"...miaka 1000?..

Nafsi ikitoka uenda kuishi sehemu ambapo unaagano napo mpaka siku ya mwisho." wapi kwenye agano? na agano hilo ni nini?"
 
Nipo hapa unasemaje?
Watu wengi wanao leta mada za kiroho hasa kifo, huwa hawana ujuzi na jambo ili, ila kwa namna wanavyoleta wanahisi wanajua.

Sasa huyu mtoa mada analeta kitu na kutuambia ya kuwa mwili wa roho. Kuna mwingine hivi karibuni alileta mada kuhusu ulimwengu wa roho, lakimi alivyo puyana nikamuuliza swali, nafsi ni nini ? Swali hili hakunijibu sasa sijui kama aliliona au alilipuuza au uzi ulifutwa...?
 
Napenda vitu vinavyo prove kama hivi sio oh malaika mtoa roho,mara oh sijui israil,hapa lazima kila kifo kuwe na uthibitisho
 
Kuna mtu roho yake ilitoka mwilini tena kwa spidi ya ajabu ikawa inakimbilia kusikojulikana jamaa ikabidi akodi bodaboda aifukuzie,aliifukuzia mpaka akaikamata akairudisha mwilini na akaionya iache kutokatoka tena bila ruhusa
😂 😂 😂
 
Mleta mada umewahi kufa??
Kama hujawahi kufa peleka huko matangopori yako bwana.
Mtu pekee anayekijua kifo ni aliyewahi kufa tu, ninyi mlio hai mtadanganyana sana lakini hamtolipata jibu kamwe mpaka mkufe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa umechanganya mambo.
Hewa haitumiki kutengeneza umeme mwilini bali hewa husaidia uvunjwaji wa chakula (respiration).
Mtu akifa cha kwanza kufa ni ubongo(brain).
Moyo(heart) unaweza kuwa hai hata Massa 72 baada ya ubongo kufa.
Kutokana na hivyo ndio maana Heart transplant unachukuliwa moyo wa mgonjwa aliyekufa kwa masaa 24 maana moyo bado unakuwa active.
 
Watu wengi wanao leta mada za kiroho hasa kifo, huwa hawana ujuzi na jambo ili, ila kwa namna wanavyoleta wanahisi wanajua.

Sasa huyu mtoa mada analeta kitu na kutuambia ya kuwa mwili wa roho. Kuna mwingine hivi karibuni alileta mada kuhusu ulimwengu wa roho, lakimi alivyo puyana nikamuuliza swali, nafsi ni nini ? Swali hili hakunijibu sasa sijui kama aliliona au alilipuuza au uzi ulifutwa...?
Post number 14 nimejibu swali lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom