Fafanua picha hii.

Fafanua picha hii.

tz1

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
2,121
Reaction score
536
_MG_0369.jpg

Mmhhhhh.
 
jamani ck hizi hata ikitokea mwanaume amembusu mwanaume mwenzie basi lazima aitwe wa david cameroon
 
Walewale akina cameron ptuuuu!
 
wewe kama hujui ku hug toa mkono tu kwa salamu kama mimi, mimi siwezi kumhug mwanaume mwenzangu, huwa naona kinyaa kama nakula maviiii...ila kwa mwanamke, nahug kila mtu isipokuwa mama yangu mzazi, dada zangu, mashangazi na mamamkwe....
 
wewe kama hujui ku hug toa mkono tu kwa salamu kama mimi, mimi siwezi kumhug mwanaume mwenzangu, huwa naona kinyaa kama nakula maviiii...ila kwa mwanamke, nahug kila mtu isipokuwa mama yangu mzazi, dada zangu, mashangazi na mamamkwe....
Si unajua uzugu tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom